Wadau na wasaka ajira wote nawapa Hi
Kuna hawa jamaa wanaitwa vipaji Link ambao wanajushughulisha na kuajiri on behalf of employers. Kinachonisikitisha kuhusu hawa jamaa sijui ni kutokuwa serious, au ni makusudi kwa sababu zao wanazozijua au vipi, siwaelewi.Kwanza unaweza kuitwa kwenye interview masaa machache kabla ya interview bila kujali kuwa watu wanapaswa kujiandaa. Mfano mtu anakupigia simu jioni saa anakuambia njoo kwenye interview saa tatu kesho bila kukosa. Sasa tujiulize ni watu wote wapo Dar??? Je hata kama nipo Dar ni kweli naweza kuwa tayari kiasi hicho??? Halafu anayekupigia simu utadhani kalazimishwa akuite kwenye interview. Jamani jamani tunajua kuna shida ya ajira hapa nchini lakini msitufanyie hivyo, ni vibaya
Kuna hawa jamaa wanaitwa vipaji Link ambao wanajushughulisha na kuajiri on behalf of employers. Kinachonisikitisha kuhusu hawa jamaa sijui ni kutokuwa serious, au ni makusudi kwa sababu zao wanazozijua au vipi, siwaelewi.Kwanza unaweza kuitwa kwenye interview masaa machache kabla ya interview bila kujali kuwa watu wanapaswa kujiandaa. Mfano mtu anakupigia simu jioni saa anakuambia njoo kwenye interview saa tatu kesho bila kukosa. Sasa tujiulize ni watu wote wapo Dar??? Je hata kama nipo Dar ni kweli naweza kuwa tayari kiasi hicho??? Halafu anayekupigia simu utadhani kalazimishwa akuite kwenye interview. Jamani jamani tunajua kuna shida ya ajira hapa nchini lakini msitufanyie hivyo, ni vibaya