TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na jamaa mmoja mwenye nguvu za ajabu alikuwa anaitwa pawa mabula na baadaye walijitokeza wengine kama pawa masalu,mwanakatwe nk,walikuwa na michezo mizuri sana ya kutumia nguvu kama kuvuta gari kwa meno,kuzuia pikipiki kwa nywele,kupasua mawe kwa kichwa na mingine mingi,je wako wapi siku hizi au wameondoka na vipaji vyao?