VIP makanisani.....


Mtoa mada ameombwa ataje makanisa lakini amekimbia. JF is where we dare to talk openly anaficha nini? Wapi aliambiwa mpaka atoe Tshs. 250,000; ndipo akae kiti cha mbele? Aseme then tumalize ubishi. Vinginevyo nitashikilia msimamo wangu wa kumwita mwongo na mzushi.

Kama wewe unao ushahidi wa hili sema hapa watu wapone. Maana hatutaki unafiki hapa.
 

Umetoka nje ya mada. Mtoa mada anazungumzia nafasi maalumu kanisani kutokana na utoaji wa sadaka.
 
Ray B,ushaambiwa makanisa halafu wewe unataja stpeters na stjoseph?mbona hauko serious?Mbonea namaanisha kwa MAMA,DPC,UFUFUO NA UZIMA,GRC na mengine ya aina hiyo.

Natasha nimetaja hayo kwa kuwa na yenyewe yametajwa katika mifano
 
Mnashangaa nini? kama mashoga wanaruhusiwa kuhubiri na wanakaa na ma boyfriend zao seat za mbele mnashangaa wenye pesa na mafisadi kutengewa vitu maalum?

Mafisadi wote wanakimbilia makanisani na bado wachungaji wanawapatia nafasi za kuhubiri unyama wao. Kuna mambo mengi kanisani na bado mtayaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…