Komando kipen
Member
- Jul 13, 2021
- 56
- 53
Kwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.
Vipi ushakua short listed wakati hata deadline haijafika, we utakua na connection kubwa sanaKwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.
Deadline ndo kwanza ni kesho ..Kwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.
Hpoumenijibu au matusi TenaVipi ushakua short listed wakati hata deadline haijafika, we utakua na connection kubwa sana
Rudia kusoma swali unijibu vzr Kama swali linavyo uliza!!Deadline ndo kwanza ni kesho ..
Soma swali vzr unijibu tenaHpoumenijibu au matusi Tena
Ndugu yangu-Tanzania kuna maigizo kila mahali,kikubwa mwombe MUNGU atie mkono.Naongelea thru experienceKwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.
Kwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika
Hv hawajaita kumbe kny interview nilijua watu washapata shavuKwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.