mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 547
- 393
Naam, habari wana JF, Naam ni mpango wa muumba kila kiongoz anayepatikana ktk sehem yeyote ilee huwa ni kusudio lake vyovyote awavyo.
Lakini kwetu sie watakiwa inaweza kuwa adhabu au iwe huruma toka kwa muumba isipokuwa ukiona mtawala muovu tambua mmeyachuma kwa mikono yetu hivyo haina haja kutukana,kuandama wala kugombezana isipokuwa tukaye chini tutubie kwa muumba wetu pale tulipokosea.
Maana hata tuweke mfumo gani kamwe hatutaweza kufaulu mpaka mola aamue!
Nawasilisha!
Lakini kwetu sie watakiwa inaweza kuwa adhabu au iwe huruma toka kwa muumba isipokuwa ukiona mtawala muovu tambua mmeyachuma kwa mikono yetu hivyo haina haja kutukana,kuandama wala kugombezana isipokuwa tukaye chini tutubie kwa muumba wetu pale tulipokosea.
Maana hata tuweke mfumo gani kamwe hatutaweza kufaulu mpaka mola aamue!
Nawasilisha!