Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimtizamo wangu kwamba tunaliwa vichwa kimya kimya bila kupigiwa kelele. Nadhani tunapoelekea wale watu wote waliopanda kwa kasi miaka mitano iliyopita na wakashindwa kumaintaini nidham kwa wengine tayari wamekwisha. Kwenye chama tumepotea na hakuna anayetaka kutusikia, kwenye serikali tumeondolewa jikoni tukahamishiwa sebuleni Jambo ambalo aliyepo jikoni akitaka tufe njaa anaweza kutotuletea chakula akilia huko huko.
Ni kwanini tumepoteana kwa muda mfupi hivi? Je kwa tathimini ya harakaharaka namna tulivyoongoza tulipoteuliwa, je tuliongoza sahihi kwamba keaho watatamani Tena tupate nafasi?
Je, si muda Sasa kwetu sisi kuwaridhisha watoto wetu nafsi zakuthamini watu kuliko kuthamini vitu? Au ushamba ulitujaa tukashindwa kuelewa watu Wana haki sawa? Nashindwa kusema tumekosea wapi Hadi tunatengwa kwa kasi namna hii? Au ndo ile kujiona wote ni Marais?
Ni kwanini tumepoteana kwa muda mfupi hivi? Je kwa tathimini ya harakaharaka namna tulivyoongoza tulipoteuliwa, je tuliongoza sahihi kwamba keaho watatamani Tena tupate nafasi?
Je, si muda Sasa kwetu sisi kuwaridhisha watoto wetu nafsi zakuthamini watu kuliko kuthamini vitu? Au ushamba ulitujaa tukashindwa kuelewa watu Wana haki sawa? Nashindwa kusema tumekosea wapi Hadi tunatengwa kwa kasi namna hii? Au ndo ile kujiona wote ni Marais?