Viongozi wastaafu mwanzo mlipishana milango ya Ikulu kulikoni sasa

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
18,610
23,067
Baada ya rais magufuli kuchukua nchi viongozi wetu wastaafu mzee mkapa na kikwete walikuwa wakipishana kwa siku zile za mwanzo za uongozi ,ispokuwa tu mzee mwinyi na hatujui zumuni la kwenda ikulu kila mara ilikuwa ni nini haswa,

lakini tangu baada ya hapo hatukuwaona tena wakubwa hawa kupishana ikulu ,sasa inawezekana aliwapiga marufuku au sababu ikulu haina chai ya mgeni,

Na haya yanayoendelea sasa ndani ya nch ilikuwa ni wakati muafaka ya wale wazee kwenda pale na kumshauri,

kwa mwenye taarifa zaidi atusaidie kutujuza kwanini hawa wazee wamekata mguu magogoni na walikuwa wakufuata nini.
 
Walipokuwa wanaenda Ikulu Mara kwa Mara tuliwatukana eti wanaenda kupunguza Nguvu Ya Dr. Magufuli, wengine wakasema wanaenda kulinda Watu wao wasitumbuliwe.

Akina Jk waliskia kilio chetu cha kuwataka wasipunguze kasi ya Rais wakaamua kukaa kando sasa kasi tunaiona na kwa kweli tunaifurahia
 
Walipokuwa wanaenda Ikulu Mara kwa Mara tuliwatukana eti wanaenda kupunguza Nguvu Ya Dr. Magufuli, wengine wakasema wanaenda kulinda Watu wao wasitumbuliwe.

Akina Jk waliskia kilio chetu cha kuwataka wasipunguze kasi ya Rais wakaamua kukaa kando sasa kasi tunaiona na kwa kweli tunaifurahia
Namba inasomeka kiusahihi
 
Hata mimi niliwashangaa walikuwa wanaenda kushauri lipi la maana wakati walipokuwa madarakani nchi iliendelea kuwa masikini? Huyu kawapuuza kwani ameona hawana jipya na kile wanachomshauri anakitupilia kapuni. Kimsingi jamaa anafuata kichwa chake ndio maana anaharibu sana na kupatia kidogo, japo siamini kwama JK na Mkapa pia walikuwa na jipya.
 
Hata mimi niliwashangaa walikuwa wanaenda kushauri lipi la maana wakati walipokuwa madarakani nchi iliendelea kuwa masikini? Huyu kawapuuza kwani ameona hawana jipya na kile wanachomshauri anakitupilia kapuni. Kimsingi jamaa anafuata kichwa chake ndio maana anaharibu sana na kupatia kidogo, japo siamini kwama JK na Mkapa pia walikuwa na jipya.
labda ndio waliomtuma,ndio maana sasa wapo kimya
 
Walipokuwa wanaenda Ikulu Mara kwa Mara tuliwatukana eti wanaenda kupunguza Nguvu Ya Dr. Magufuli, wengine wakasema wanaenda kulinda Watu wao wasitumbuliwe.

Akina Jk waliskia kilio chetu cha kuwataka wasipunguze kasi ya Rais wakaamua kukaa kando sasa kasi tunaiona na kwa kweli tunaifurahia
Haha ha ha ha aaaqqq

Una kumbu kumbu nzuri sana
 
kasema hashauriwi na mtu mwanzo alikuwa anawavumilia tu kwa sasa anawapotezea kabisa hataki kwanza malofa tu
 
Back
Top Bottom