Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

Naomba tu niweke kumbukumbu sawa kwa faida ya baadae. Mkuu mimi siyo mpinzani. Ni Mtanzania tu Mzalendo na mpenda haki.

Sina kadi ya chama chochote! Ingawa siwezi kukataa, nina tamani sana kuona siku moja Tanzania ikitawaliwa na watu tofauti kabisa na wale ccm ambao kiukweli binafsi nimewachoka! Tangu uhuru 1961, ni TANU na mtoto wake CCM pekee!! Inachosha aisee.
CCM inachosha kweli,lakini hakuna kimbilio.
Ukimulika huko upinzani unawakuta akina RUNGWE,MBATIA,KABWE NA LISU,
Hapo ndio inachosha zaidi.
 
Mpuuzi kama huyu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuingia Ikulu.

1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima:(ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Kwanini unalazimisha tuongozwe na watu wenye matatizo ya akili? Kwani ni lazima Tanzania iwe na rais kichaa?
 
Yaani huyo kwa waliosoma nae pale Ilboru wanamjua alivyosifa kiherehere kujipendekeza kuzamisha watu wote aelee peke yake haoni shida yaani mwigulu ndio
Huwa ananikera akihojiwa ana tabia ya kurudiarudia maneno
 
Tuletee nawe listi yako tuone bila kujali itikadi ya chama alichotokea
Mimi naweza kukupa vigezo. Waliopo wengi ni matokeo ya mfumo wa udikteta wa jiwe. Mfumo wa mama nao umelenga kuwazuia wanasiasa walio wengi kuonyesha uwezo wao kwa kuzuia, kuhujumu mawazo huru.

Wenye uwezo hawana pa kujionyesha kwa kuwa mfumo na utawala haujalenga kuwapa fursa sawa wale wenye nia hizo.

Kwa sasa hakuna tija ya kutafuta mtu bora kama tuna mfumo wa hovyo. Yeyote atakayepatikana, hata awe bora kiasi kikubwa, bado atajikuta anaogelea kwenye mfumo uleule uliooza, atashindwa
 
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima:(ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Sukuma Gang oyeeeeeeeeee
 
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima:(ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli

Jasusi wa mbinguni, mtu wa mbinguni, mrudisha misukule, mfufua wafu Gwajima mwongo na tapeli. Labda awe Rais wako na ukoo wako
 
Upeo mdogo wa fikra ni mbaya sana

kila anayepinga serikali anaonekana anafaa kuwa rais

huyuhuyu pole pole aliyekua anapiga mna na vieite kwa nchi masikini ambayo hadi leo umeme, maji, elimu, Afya na miundombinu Bado Iko chini…. Huyuhuyu aliyekua anacheza mayenu huku ukawa wanapiga kelele za uonevu

gwajiboy… huyu huyu aliyetukana waislamu, na wakatoliki kwenye public , huyu aliyekua Kwenye ile video ya kuanzisha taifa la waislamu?

vijana mnatakiwa mtafute forum humu jf iwe inawapa shule ya historia ya tulipotoka, aina za uchumi tulionao, uwanda mzima wa siasa, katiba na dira za vyama

Pia tuwe na forum ya kuangalia sifa muhimu za potential presidential candidates

rais haokotwi, rais anaandaliwa
Huyu jamaa ni mchumia tumbo,,,, mpaka Leo kigoma haijaunganishwa kwenye grid ya taifa,,, wanatumia umeme was mafuta na Dr mpango yupo,,, Kama anashindwa kuisaisia kigoma ,, ataweza tz nzima?
 
Hapo ni GWAJIMA TU.
IMG-20210818-WA0042.jpg
 
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima:(ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
First eleven yangu

Innocent Bashungwa
Catherine Ruge
George Simbachawene
Jerry Slaa
John Mnyika
Anthony Mtaka
Malisa GJ
Jokate Mwogelo
Ummy Mwalimu
Bob Wangwe
Abdul Mohamed
 
Back
Top Bottom