mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
- Thread starter
- #101
Kabisa mkuuMkatili sana..nyonganyonga. Ndo maana toka atoke wizara ya mambo ya ndani, hujawahi kusikia mtu ameokotwa kwenye kiroba amekufa
Kabisa mkuuMkatili sana..nyonganyonga. Ndo maana toka atoke wizara ya mambo ya ndani, hujawahi kusikia mtu ameokotwa kwenye kiroba amekufa
Tena sana!Baba Askofu Joseph Gwajima atatufaa sana.
CCM inachosha kweli,lakini hakuna kimbilio.Naomba tu niweke kumbukumbu sawa kwa faida ya baadae. Mkuu mimi siyo mpinzani. Ni Mtanzania tu Mzalendo na mpenda haki.
Sina kadi ya chama chochote! Ingawa siwezi kukataa, nina tamani sana kuona siku moja Tanzania ikitawaliwa na watu tofauti kabisa na wale ccm ambao kiukweli binafsi nimewachoka! Tangu uhuru 1961, ni TANU na mtoto wake CCM pekee!! Inachosha aisee.
Unayaweza wewe/ Mbona wanachopigania ni matumbo yao wala lako halimo.Wanayoyafanya na kupigania kwa taifa hili huyajui mkuu,we huyawezi
Mpuuzi kama huyu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuingia Ikulu.
Kwanini unalazimisha tuongozwe na watu wenye matatizo ya akili? Kwani ni lazima Tanzania iwe na rais kichaa?1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)
4. Josephat GwajimaANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.
Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Yaani huyo kwa waliosoma nae pale Ilboru wanamjua alivyosifa kiherehere kujipendekeza kuzamisha watu wote aelee peke yake haoni shida yaani mwigulu ndioHuyo hafai kabisa,anapenda sana kudekezwa
Tuletee nawe listi yako tuone bila kujali itikadi ya chama alichotokeaKwanini unalazimisha tuongozwe na watu wenye matatizo ya akili? Kwani ni lazima Tanzania iwe na rais kichaa?
Huwa ananikera akihojiwa ana tabia ya kurudiarudia manenoYaani huyo kwa waliosoma nae pale Ilboru wanamjua alivyosifa kiherehere kujipendekeza kuzamisha watu wote aelee peke yake haoni shida yaani mwigulu ndio
Mimi naweza kukupa vigezo. Waliopo wengi ni matokeo ya mfumo wa udikteta wa jiwe. Mfumo wa mama nao umelenga kuwazuia wanasiasa walio wengi kuonyesha uwezo wao kwa kuzuia, kuhujumu mawazo huru.Tuletee nawe listi yako tuone bila kujali itikadi ya chama alichotokea
Sukuma Gang oyeeeeeeeeee1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)
4. Josephat GwajimaANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.
Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)
4. Josephat GwajimaANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.
Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Huyu jamaa ni mchumia tumbo,,,, mpaka Leo kigoma haijaunganishwa kwenye grid ya taifa,,, wanatumia umeme was mafuta na Dr mpango yupo,,, Kama anashindwa kuisaisia kigoma ,, ataweza tz nzima?Upeo mdogo wa fikra ni mbaya sana
kila anayepinga serikali anaonekana anafaa kuwa rais
huyuhuyu pole pole aliyekua anapiga mna na vieite kwa nchi masikini ambayo hadi leo umeme, maji, elimu, Afya na miundombinu Bado Iko chini…. Huyuhuyu aliyekua anacheza mayenu huku ukawa wanapiga kelele za uonevu
gwajiboy… huyu huyu aliyetukana waislamu, na wakatoliki kwenye public , huyu aliyekua Kwenye ile video ya kuanzisha taifa la waislamu?
vijana mnatakiwa mtafute forum humu jf iwe inawapa shule ya historia ya tulipotoka, aina za uchumi tulionao, uwanda mzima wa siasa, katiba na dira za vyama
Pia tuwe na forum ya kuangalia sifa muhimu za potential presidential candidates
rais haokotwi, rais anaandaliwa
Ukiwasikiliza kwa umakgUnayaweza wewe/ Mbona wanachopigania ni matumbo yao wala lako halimo.
Kwa taarifa yako,Gwajima hadanganyi ila anafanya kukazia tu yaliyoletwa na wazungu kupitia biblia.Jasusi wa mbinguni, mtu wa mbinguni, mrudisha misukule, mfufua wafu Gwajima mwongo na tapeli. Labda awe Rais wako na ukoo wako
Kwa kweli baba askofu amekuja wakati mzuri,Hapo ni GWAJIMA TU.
View attachment 1929035
Mkuu mi ni mmakuwa tena yule mmeto kutoka masasiSukuma Gang oyeeeeeeeeee
AtawezaHuyu jamaa ni mchumia tumbo,,,, mpaka Leo kigoma haijaunganishwa kwenye grid ya taifa,,, wanatumia umeme was mafuta na Dr mpango yupo,,, Kama anashindwa kuisaisia kigoma ,, ataweza tz nzima?
First eleven yangu1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)
4. Josephat GwajimaANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.
Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli