mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika Viongozi wa Mabingwa wa Soka Simba mmetuudhi sana wanachama ,wapenzi na mashabiki wenu kwa matokeo ya juzi.
Usajili mmefanya kinyume na matakwa ya kocha mkuu,Wachezaji muhimu kama Emmanuel Okwi,Haruna Niyonzima na Kotei mnawaacha mnaenda kutuletea watalii toka Brazil Aibu kubwa matokeo ni timu kushindwa kufuzu.
Kama klabu zetu zinalalamika ubovu wa viwanja hao Wabrazil watacheza kweli?Tanzania haijafikia hatua ya kusajili nje ya Afrika,Yanga ilileta wabrazil je walifanya nini cha ajabu.
Ukweli Viongozi wa Simba maswala ya Wachezaji mwachieni Kocha ,sidhani kama kocha hakuwahitaji kina Okwi,Kotei na Niyonzima,au kama kocha aliagiza hao Wabrazil.
Kama kweli Simba inataka kutetea Ubingwa wake basi iangalie upya Usajili wake vinginevyo Ubingwa utavuliwa mapema.
Usajili mmefanya kinyume na matakwa ya kocha mkuu,Wachezaji muhimu kama Emmanuel Okwi,Haruna Niyonzima na Kotei mnawaacha mnaenda kutuletea watalii toka Brazil Aibu kubwa matokeo ni timu kushindwa kufuzu.
Kama klabu zetu zinalalamika ubovu wa viwanja hao Wabrazil watacheza kweli?Tanzania haijafikia hatua ya kusajili nje ya Afrika,Yanga ilileta wabrazil je walifanya nini cha ajabu.
Ukweli Viongozi wa Simba maswala ya Wachezaji mwachieni Kocha ,sidhani kama kocha hakuwahitaji kina Okwi,Kotei na Niyonzima,au kama kocha aliagiza hao Wabrazil.
Kama kweli Simba inataka kutetea Ubingwa wake basi iangalie upya Usajili wake vinginevyo Ubingwa utavuliwa mapema.