Viongozi wa manispaa ya Morogoro hawaogopi kutumbuliwa

Ruyama

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
367
561
Habari za muda huu, kuna kipindi nilileta malalamiko hapa juu ya walimu tuliosahihisha mtihani wa Mock hatukulipwa, ila baada ya kuleta hilo Jambo hapa tukalipwa kidogo wakatwambia watamalizia.

Kesho mitihani ya kitaifa inaenda kuanza hawajatumalizia kutulipa tokea, jamani kazi tulifanya kwa umakini lakini HATUTHAMINIWI, tulisha kwenda kwa Afisa elimu wa mkoa akatwambia tusuburie kila tukimkumbusha majibu ni hayo, kwa kweli inauma sana kuona walimu tulio fanya ile kazi ngumu tunadhulumiwa hivii hivii.
 
Habari za muda huu,kuna kipindi nilileta malalamiko hapa juu ya walimu tuliosahihisha mtihani wa Mock hatukulipwa,ila baada ya kuleta hilo Jambo hapa tukalipwa kidogo wakatwambia watamalizia,sasa kesho mitihani ya kitaifa inaenda kuanza hawajatumalizia kutulipa tokea,jamani kazi tulifanya kwa umakini lakini HATUTHAMINIWI,tulisha kwenda kwa Afisa elimu wa mkoa akatwambie tusubulie kila tukimkumbusha majibu ni hayo,kwa kweli inauma sana kuona walimu tulio fanya ile kazi ngumu tunazulumiwa hivii hivii.
UALIMU ni wito na ni kazi ya kujitolea. Pole sana maana hapo tayari madai yenu yashaingizwa kwenye kumbukumbu mtalipwa tu.
 
Habari za muda huu, kuna kipindi nilileta malalamiko hapa juu ya walimu tuliosahihisha mtihani wa Mock hatukulipwa, ila baada ya kuleta hilo Jambo hapa tukalipwa kidogo wakatwambia watamalizia.

Kesho mitihani ya kitaifa inaenda kuanza hawajatumalizia kutulipa tokea, jamani kazi tulifanya kwa umakini lakini HATUTHAMINIWI, tulisha kwenda kwa Afisa elimu wa mkoa akatwambia tusuburie kila tukimkumbusha majibu ni hayo, kwa kweli inauma sana kuona walimu tulio fanya ile kazi ngumu tunadhulumiwa hivii hivii.
Mwl.wangu vuta subira mtalipwa na hamtadhulumiwa kwani records zipo kwa Kazi mlizofanya.

Nakumbuka TAHOSA mwaka Jana katika kikao chao cha Mwaka pale Chimwaga-UDOM baadhi ya Wakuu wa Shule walilalamika mbele ya Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI kuhusu kutokupewa barua katika teuzi zao kwa muda mrefu.Je, Mwl,suala hilo mkoani kwako limeshughulikiwa au?

Kuna Mkoa/Hamashauri nimesahau jina iliongoza kulalamikiwa kutodhibitisha (kuwapa barua)Wakuu wa Shule kwa muda mrefu.Aiyekuwa Naibu Katibu Mkuu Zunda -TAMISEMI (sasa ni Katibu Mkuu OWM)alitoa maelekezo kwa Mamlaka za Mikoa(Ma-Ras) kushughulikia suala hilo.

Je,maelekezo hayo yalifanyiwa Kazi au yalipuuzwa tu?

WALIMU NI KIOO CHA JAMII POPOTE.

Tusipotoshane!!!
 
Mwl.wangu vuta subira mtalipwa na hamtadhulumiwa kwani records zipo kwa Kazi mlizofanya.

Nakumbuka TAHOSA mwaka Jana katika kikao chao cha Mwaka pale Chimwaga-UDOM baadhi ya Wakuu wa Shule walilalamika mbele ya Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI kuhusu kutokupewa barua katika teuzi zao kwa muda mrefu.Je, Mwl,suala hilo mkoani kwako limeshughulikiwa au?

Kuna Mkoa/Hamashauri nimesahau jina iliongoza kulalamikiwa kutodhibitisha (kuwapa barua)Wakuu wa Shule kwa muda mrefu.Aiyekuwa Naibu Katibu Mkuu Zunda -TAMISEMI (sasa ni Katibu Mkuu OWM)alitoa maelekezo kwa Mamlaka za Mikoa(Ma-Ras) kushughulikia suala hilo.

Je,maelekezo hayo yalifanyiwa Kazi au yalipuuzwa tu?

WALIMU NI KIOO CHA JAMII POPOTE.

Tusipotoshane!!!
Hili ni swala la mkoa kwa maana kila mwanafunzi alitakiwa kulipiwa pesa za mock na wale wa shule binafsi walilipia,sasa hizi pesa sio za TAMISEMI Ila ni pesa zilizochangwa na wanafunzi wenyewe
 
Sawa mwl,utalipwa tu.Nimeuliza na hilo nikadhani unalijua kumbe giza totoro.Ukiwa Mwl.unategemewa uwe well informed with many things.Au una kremu na kwenda kuwalisha wanafunzi wako nao wakremu bila uwepo wa wigo mpana wa kuwaza?

Kuna hii kitu inatwa "contemporary issues in life" au "current issues". Mwl.anatakiwa awe vizuri kwa eneo hilo.

Fedha huenda ilipangiwa matumizi mengine,utaratibu wote ulifuatwa, kuidhinishwa na kutolewa.Au huelewi mamlaka ya "warrant holder" kisheria na ki utaratibu.

Subiri mtapewa kama unafikiri kuwa mnastahili kupewa!!!
Hili ni swala la mkoa kwa maana kila mwanafunzi alitakiwa kulipiwa pesa za mock na wale wa shule binafsi walilipia,sasa hizi pesa sio za TAMISEMI Ila ni pesa zilizochangwa na wanafunzi wenyewe
 
Hivi nyie walimu mliokuwa mmeerundikana Hapo Morogoro Mjini bado tu RAS Kalobelo hajaanza kuwarudisha Vijijini, maaana nyote mlikuwa mmerundikwa hapo Mjini kiujanjajanja tu mnashindia vipindi vinne kwa wiki na kuchat mitandaoni kama wewe.
 
Acha kudhalilisha walimu. Walimu ndio walezi wa watoto wako na ni muongozo wa vipaji vya watoto wako pia
Hivi nyie walimu mliokuwa mmeerundikana Hapo Morogoro Mjini bado tu RAS Kalobelo hajaanza kuwarudisha Vijijini, maaana nyote mlikuwa mmerundikwa hapo Mjini kiujanjajanja tu mnashindia vipindi vinne kwa wiki na kuchat mitandaoni kama wewe.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom