Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Nitoe shukrani kwa JF,
Juzi nilileta duku duku walimu tulio sahihisha mitihani ya mock baada ya kazi hiyo tulipigwa dana dana juu ya malipo sasa
Tumeambiwa tutapewa kiasi kingine kidogo cha pesa kiasi kingine watamalizia baadae,tukikataa kuchukua kidogo hatujui lini tutalipwa pesa zote.
Juzi nilileta duku duku walimu tulio sahihisha mitihani ya mock baada ya kazi hiyo tulipigwa dana dana juu ya malipo sasa
Tumeambiwa tutapewa kiasi kingine kidogo cha pesa kiasi kingine watamalizia baadae,tukikataa kuchukua kidogo hatujui lini tutalipwa pesa zote.