ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,125
- 49,846
Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia na Rais wa JMT Samia SH anazidi kujipambanua kama Kiongozi mzito na mashuhuri kwenye nyanja ya Diplomasia Duniani akiiongoza Diplomasia ya Tanzania kwenda viwango Vingine.
Kama ilivyokuwa miaka 3 Iliyopita Kwa Mamio ya Viongozi wakubwa wa Dunia Kumiminika Tanzania,pazia la Diplomasia ya Tanzania Kwa mwaka 2024 linaenda kufunguliwa rasmi January hii Kwa ziara ya Naibu Waziri Mkuu wa China.
View: https://twitter.com/ChineseEmbTZ/status/1745835542435004788?t=u9rwk3QCT9ZzBvVE4umrxA&s=19
My Take
Kadiri mnavyomchukia ndivyo anazidi kuchanja mbuba.Heshima za hivi hupewa Viongozi wachache sana.Hongera sana Rais Samia,nimekulia Kofia.
View: https://www.instagram.com/p/C2XNe-Tt6JF/?igsh=eHdpcm4zbWt0N2I=
Kama ilivyokuwa miaka 3 Iliyopita Kwa Mamio ya Viongozi wakubwa wa Dunia Kumiminika Tanzania,pazia la Diplomasia ya Tanzania Kwa mwaka 2024 linaenda kufunguliwa rasmi January hii Kwa ziara ya Naibu Waziri Mkuu wa China.
View: https://twitter.com/ChineseEmbTZ/status/1745835542435004788?t=u9rwk3QCT9ZzBvVE4umrxA&s=19
My Take
Kadiri mnavyomchukia ndivyo anazidi kuchanja mbuba.Heshima za hivi hupewa Viongozi wachache sana.Hongera sana Rais Samia,nimekulia Kofia.
View: https://www.instagram.com/p/C2XNe-Tt6JF/?igsh=eHdpcm4zbWt0N2I=