Viongozi wa dini wataka wanaoleta uchochezi wadhibitiwe. Wawataja Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mdude

Viogozi wa dini waliokutana Dar es Salaam kupitia kamati ya amani ya mkoa chini ya mwenyekiti wake wa sasa Shekhe Walidi Omari (Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam) wamewataka wanasiasa na wanaharakati wanatakata maandamano wadhibitiwe ili wasilete uvunjifu wa amani nchini.

Wakiwataja majina Mdude, Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kuwa wanataka kuligawa taifa na kutaka Serikali iwadhibiti hasa kupitia Mahakama.

Wameenda mbali na kulaani muito wa Muungano kuwa ulilenga kuleta machafuko baada ya kushindwa mahakamani

Chanzo channel Ten

USSR
Dini gani kwanza? Hakuma dini hapo
 
Dr. Slaa anavuna alichopanda...huyu mzee ni mnafiki sana...wakati mboww amefingwa yeye alikuwa anatoa kejeli kuwa ugaidi wa mbowe waweza kuwa kweli ..pia lissu alivyopigwa risasi huyu slaa alisema kapigwa na watu wa chadema....sasa sioni sababu kwanini watu wanahangaika na slaa..mwacheni afinywe...kama alivyokua anashangilia wenzake wakiteswa...
 
Dr. Slaa anavuna alichopanda...huyu mzee ni mnafiki sana...wakati mboww amefingwa yeye alikuwa anatoa kejeli kuwa ugaidi wa mbowe waweza kuwa kweli ..pia lissu alivyopigwa risasi huyu slaa alisema kapigwa na watu wa chadema....sasa sioni sababu kwanini watu wanahangaika na slaa..mwacheni afinywe...kama alivyokua anashangilia wenzake wakiteswa...
Screenshot_2023-08-17-22-24-51-1.jpg
 
Kazi ya viongozi wa dini ni kueneza kweli na haki ambayo ndiyo asili ya vitu vyote (Mungu mwenyewe).
Sasa katika ushauri, maoni au chochote kinachotoka kwa viongozi hao, lazima kiwe na maelezo yanayohusu haki, kweli na kuonesha ilipo au inapopindishwa ili waumini waelewe.

Dini huhamasisha maandamano ya Amani katika kweli na haki, hivyo viongozi hao wanatakiwa wahubiri hivyo. Mitume wote walikusanya wafuasi kwa njia hizo (maandamano, mikutano ya hadhara na mahubiri ya haki na kweli iletayo wokovu milele na milele).
 
Viogozi wa dini waliokutana Dar es Salaam kupitia kamati ya amani ya mkoa chini ya mwenyekiti wake wa sasa Shekhe Walidi Omari (Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam) wamewataka wanasiasa na wanaharakati wanatakata maandamano wadhibitiwe ili wasilete uvunjifu wa amani nchini.

Wakiwataja majina Mdude, Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kuwa wanataka kuligawa taifa na kutaka Serikali iwadhibiti hasa kupitia Mahakama.

Wameenda mbali na kulaani muito wa Muungano kuwa ulilenga kuleta machafuko baada ya kushindwa mahakamani

Chanzo channel Ten

USSR
Sema viongozi wa dini ya kiislamu
 
Dar ni jiji kubwa lakini jambo la ajabu, kwa wenzetu Waislam, wakati wote Dar imekuwa na shekhe mkuu wa mkoa mwenye akili ya ajabu, ambaye wakati wote anafanya kazi ya uchawa kwa viongozi wa Serikali.
Fursa ! 😅
 
Viogozi wa dini waliokutana Dar es Salaam kupitia kamati ya amani ya mkoa chini ya mwenyekiti wake wa sasa Shekhe Walidi Omari (Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam) wamewataka wanasiasa na wanaharakati wanatakata maandamano wadhibitiwe ili wasilete uvunjifu wa amani nchini.

Wakiwataja majina Mdude, Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kuwa wanataka kuligawa taifa na kutaka Serikali iwadhibiti hasa kupitia Mahakama.

Wameenda mbali na kulaani muito wa Muungano kuwa ulilenga kuleta machafuko baada ya kushindwa mahakamani

Chanzo channel Ten

USSR
Sawa Msemaji wa Kamati ta Amani ya Mkoa
 
Hawa jamaa wa dini fulani wakishaona kiongozi wa dini yao yupo pale juu ndio wanaanza chokochoko
 
Viogozi wa dini waliokutana Dar es Salaam kupitia kamati ya amani ya mkoa chini ya mwenyekiti wake wa sasa Shekhe Walidi Omari (Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam) wamewataka wanasiasa na wanaharakati wanatakata maandamano wadhibitiwe ili wasilete uvunjifu wa amani nchini.

Wakiwataja majina Mdude, Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi kuwa wanataka kuligawa taifa na kutaka Serikali iwadhibiti hasa kupitia Mahakama.

Wameenda mbali na kulaani muito wa Muungano kuwa ulilenga kuleta machafuko baada ya kushindwa mahakamani

Chanzo channel Ten

USSR
Maandamano ni haki ya kikatiba sivyo? Basi rekekebisheni katiba nchi isiwe ya kidemokrasia
 
Back
Top Bottom