Viongozi wa dini wamvaa Lema

Mwaka mmoja umeshapita na kwa Arusha hakuna lolote bali malumbano yanayoishia makao makuu ya CDM.
Kubomoa rahisi ngoma ipo katika kujenga.
Tumuulize kwanza Dr Jakaya Mrisho Kikwete ambaye hajielewi kama yeye ni Gamba au ni Gambuka,yote ya yote ni pale anapokataa maamuzi yake mwenyewe aliyoyapitisha kwenye baraza lake la mawaziri ,anajiagiza mwenyewe na kujitukana mwenyewe , hajui kipi ni cha kutekelezwa na CC ya CCm au serikali mwaka mzima anatrot tu dunia nzima,maisha yapangiki ,ndio wa kumueleza unayosema ya mwaka Lema hana serikali
Haki haitapindishwa kwa sababu ya waroho fulani
 
wabunge wengi wa chadema hawatarudi bungeni wengi wameendekeza kutafuta umaarufu kupitia bunge huku wamesahau kutimiza ahadi zao majimboni

Nina wasiwasi sana na uelewa wako, hivi zama hizi bado hujui majukumu ya mbunge, mbunge ni mwakilishi wa wanachi, anawasemea wananchi bungeni shughuli ya kuwaletea maendeleo ni ya serikali na si ya mbunge, pole kwa uelewa finyu ulionao
 
<br />
<br />
watu kama huyu wasioweza kuona kwamba miaka 50 chini ya magamba hatujapata maendeleo na bado wanaisfia huku wakihoji maendeleo ya arusha kwa miezi tisa ni janga la familia zao na taifa kwa ujumla. Si ajabu ukaongezeka kwenye list ya watakaojitoa roho 2015 chadema itakapochukua uongozi wa nchi.
Acha kufikiria miaka 50 ambayo inaelekea ulikuwa hujazaliwa bado , fikiria ya sasa na baadaye.Siyo siri matumaini ya watu wa Arusha yamepotea,.Taka hazizolewi, barabara hazitengenezwi mipango ndo imesimama kisa -"mpiganaji" Lema a.k.a mwizi wa magari.(siyo mimi niliye sema , ni Zombe)
Imekula kwenu.
 
mkuu hilo mbona liko wazi. wengi tunajua hivyo isipokuwa mazezeta machache tu ambayo yamelishwa jaziba kama lile lililomuuliza ndugai kuhusu ushaidi wa akina lema na lisu. Jaziba.
kweli kabisa mazezeta yanayopumbazwa na hela za mafisadi ndo bado yanaamini kuwa wabunge wengi wa CDM watashindwa kumbe yanajidanganya,maana mafisadi na majizi yanakereka sana yanapoona wabunge makini wa CHADEMA wakiwapigia kelele wanapoiba mali ya watanzania na wananchi tumeshajua hilo HATUDANGANYIKI ccm mtatuona 2015
 
Tumuulize kwanza Dr Jakaya Mrisho Kikwete ambaye hajielewi kama yeye ni Gamba au ni Gambuka,yote ya yote ni pale anapokataa maamuzi yake mwenyewe aliyoyapitisha kwenye baraza lake la mawaziri ,anajiagiza mwenyewe na kujitukana mwenyewe , hajui kipi ni cha kutekelezwa na CC ya CCm au serikali mwaka mzima anatrot tu dunia nzima,maisha yapangiki ,ndio wa kumueleza unayosema ya mwaka Lema hana serikali
Haki haitapindishwa kwa sababu ya waroho fulani
Bibie mbona wajichanganya kiakili.
Hivi mada inasemaje-Viongozi wa dini wamvaa Lema, s
Sababu?-haonyeshi kukidhi matarajio ya wananchi.
Sasa unapoongelea suala la kutrot kwa JK (kitu ambacho hata mimi sikiungi mkono), je wananchi wa Arusha walimchagua ili aratibu safari za JK au la?
Mwambieni tu jamaa yenu bado miaka minne, aendelee kupiga domo bila kuratibu maendeleo ya waliomchagua.
 
hawa si ndio walisema jk ni chagua la Mungu? kwa vile wanaongoza ibada/misa wanajiona kuwa wanaweza kuongea na Mungu
 
Bibie mbona wajichanganya kiakili.
Hivi mada inasemaje-Viongozi wa dini wamvaa Lema, s
Sababu?-haonyeshi kukidhi matarajio ya wananchi.
Sasa unapoongelea suala la kutrot kwa JK (kitu ambacho hata mimi sikiungi mkono), je wananchi wa Arusha walimchagua ili aratibu safari za JK au la?
Mwambieni tu jamaa yenu bado miaka minne, aendelee kupiga domo bila kuratibu maendeleo ya waliomchagua.

Sasa hapo ndo tunapokosea hivi unafikiri maendeleo yataletwa na mbunge au serikali iliyoko madarakani ? Mbunge akianza kusimamia suala la shughuli za maendeleo ujue serikali iliyoko madarakani ni mbovu, unakubaliana nami ? why mbunge aanzae kufuatilia suala la usafi ? na si mkurugenzi wa jiji na team yake ?
 
Where do I start on this?

1...tamko lililotolewa na viongozi wa dini na kutiwa saini na Askofu wa Kanisa la Blazing Alter -Blazing Alter ni dhehebu? Chimbuko lake wapi hasa? ndani ya chumba cha kuchapisha Uhuru newspaper maybe?

2. VIONGOZI wa madhehebu ya dini jijini Arusha - hayo madhehebu mengine ni yepi mbali na hilo za Blazing Alter?

3. Lema aache siasa chafu za kuchochea vurugu - hii ni insult kwa watanzania kwamba hawana utashi wa kuamua jambo mpaka waambiwe na mtu fulani? Kama sio madharau kwa watanzania ni nini?

4. siasa chafu zinazofanywa na Lema zinalenga kuwasahaulisha wananchi ahadi alizowapa, ambazo hadi sasa hajazitekeleza - Siasa safi za ccm zimeleta mafanikio gani? askofu anataka kuwaambia watanzania kuwa miaka 50 ya ccm imekuwa ya mafanikio makubwa? Mafanikio kama kuwa shirikia la ndege linalopaa kila ya kona dunia hii? mafanikio kama kuwa na mgawo wa umeme saa 12 kwa siku (minimum)? au kama 80% ya wahitimu kidato cha nne 'kufeli', Mafanikio kama kuona vijana wetu wakiuza viberiti ubungo mataa?

In his right mind huyu Askofu anafikiri ni kwanini mtu mzima mwenye akili timamu anaacha shughuli zake ambazo na akaamua kuingia barabarani kuandamana? Kwa nini Baba Askofu?

Let me say this, huyu Askofu ni 'imposter' and if anything he is tax-cheat who will trade innocent souls as long as his bank account goes 'north'.
Na kama kweli huyu imposter angekuwa anafuatilia vizuri utendaji wa Lema, angegundua kuwa sasa hivi kuna watoto wanaosoma kupitia mfuko wa Arusha Development Fund (ADF), mfuko ambao umeanzishw na Lema. Na kubwa zaidi Lema kwa kushirikiana na wazalendo wenziwe wanatoa elimu ya uraia ili watanzania waliopigika kimaisha wadai haki na utu wao. Hakuna kitu kibaya kwa mwanadamu kama kupoteza utu.

Lakini la msingi inakuwaje huyu Abunuwasi-Askofu anahoji utendaji wa Lema ambaye amekuwa mbunge kwa miezi na sio utendaji wa CCM iliyokaa madarakani kwa miaka 50? Hivi huyu mpuuzi anashindwa hata kuhoji hali za wahanga wa mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto badala yake anaungana na Zombe kumshambulia Lema?
 
Back
Top Bottom