Leo tumekua ibadani kumwabudu Mungu mchungaji kalitangazia kanisa kua kulingana na hali halisi ya ukame mchana waleo kutakua na maombi viwanja vya furahisha hapa mwanza kwa makanisa yotekuombea mvua na kumsihi Mungu atuepushe na baa la njaa linaloelekea kuikumba nchi kwani kuna maeneo tayari mifugo inakufana watu hawana chakula nimeskia na Bakwata pia wametangaza swali langu kama viongozi wameanza kunusa hatari je serekali bado hai hisi chochote kweli ili itoe anhalau tamko tu hata lakujihadhari