Viongozi wa dini wamefikia huku

Viongozi wa dini wamefikia huku

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
94,039
Reaction score
132,462
Hapo sijui Nani anambinjua mwenzk
Ngoja niwasindikize na mawaidha ya sheh pia


Ova
mshana jr
IMG-20200314-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu shekhe atanyimwa visa ya US,
Viongozi wa dini zote wangekuwa wanapinga ushoga hadharani kama huyu shekhe mashoga wasingejiachia kama hivi sasa,
Yani sahivi shoga akimnanga tu akienda polisi eti ni kesi tyr,
Kuna mmoja nilimtemea mate usoni bwana siku zikapita nikajua yameisha,
Doh,sina ili wala lile wazee wakantimbia naitwa kituoni maramoja bila kuchelewa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu shekhe atanyimwa visa ya US,
Viongozi wa dini zote wangekuwa wanapinga ushoga hadharani kama huyu shekhe mashoga wasingejiachia kama hivi sasa,
Yani sahivi shoga akimnanga tu akienda polisi eti ni kesi tyr,
Kuna mmoja nilimtemea mate usoni bwana siku zikapita nikajua yameisha,
Doh,sina ili wala lile wazee wakantimbia naitwa kituoni maramoja bila kuchelewa,

Sent using Jamii Forums mobile app
Trump mwenyewe anaupinga ushoga
Mbn bongo tuna watu wa Aina hyo na kutwa media zinawapaishaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Huyu shekhe atanyimwa visa ya US,
Viongozi wa dini zote wangekuwa wanapinga ushoga hadharani kama huyu shekhe mashoga wasingejiachia kama hivi sasa,
Yani sahivi shoga akimnanga tu akienda polisi eti ni kesi tyr,
Kuna mmoja nilimtemea mate usoni bwana siku zikapita nikajua yameisha,
Doh,sina ili wala lile wazee wakantimbia naitwa kituoni maramoja bila kuchelewa,

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelfu ya Wakimbizi wa Kiislam wanamejazana kwenye mpaka wa Uturuki na Ulaya wakiomba waingie huko, hawataki kukaa Uturuki kwa mashekhe wenzao
 
Maelfu ya Wakimbizi wa Kiislam wanamejazana kwenye mpaka wa Uturuki na Ulaya wakiomba waingie huko, hawataki kukaa Uturuki kwa mashekhe wenzao
Mpaka wa uturuki na ulaya? Hiyo uturuki ipo asia?
 
Back
Top Bottom