Viongozi wa Dini Wajikite kuhubiri Neno la Mungu kama lilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu Na siyo kuhubiri Hisia zao za kisiasa

Viongozi wa Dini Wajikite kuhubiri Neno la Mungu kama lilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu Na siyo kuhubiri Hisia zao za kisiasa

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,357
Reaction score
23,759
Ndugu zangu Watanzania,

Watu wanakwenda kwenye nyumba za ibada kusikiliza neno la Mungu na siyo kwenda kusikiliza hisia za mtu na mtizamo wake wa kisiasa au mapenzi yake kwa chama fulani cha siasa. Watu wanakwenda kupata chakula cha kiroho na siyo kwenda kusikiliza uwanaharakati na habari za harakati katika madhabahu.

Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wamesahau kabisa wajibu wao wawapo katika madhabahu na nyumba za ibada . Badala yake yamejivika uanaharakati na kujibika kengele shingoni mwao pamoja na kuwa vipaza sauti vya wanaharakati walioishiwa hoja na kufirisika kifikra. Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wanahuburi siasa na kuleta michanganyo mpaka mtu unajiuliza ikiwa upo ni kanisani ama upo kwenye vikao vya chama ama kwenye mikutano ya kampeni.

Wengine wanafikia kuanza hadi kutoa matamko ya kisiasa ama kukariri Makelele ya Viroja vya wanaharakati waliokosa muelekeo na kutaka kuishinikiza serikali ama kuleta upotoshaji kwa umma. Wengine wamekuwa wakibebeshwa ajenda na wanaharakati ili wakaziongelee kwenye nyumba zao za ibada.

Chakusikitisha zaidi ni pale unapoona mazungumzo yao yakikosa msingi wa hoja zao wala kueleweka wanataka nini na kipi hawatakaa zaidi ya kudakia tu vijimaneno vya wanaharakati na wale maadui zetu wenye lengo Baya na Taifa letu.

Wengine wamekuwa wakizungumza mambo yenye kuleta uchonganishi kwa wananchi dhidi ya serikali yao. Rai yangu ni kuwaomba viongozi wetu wote wa Dini kujikita katika kuhubiri neno la Mungu na siyo hisia zao binafsi. Vitabu vitakatifu ndio uwe muongozo wao na siyo mapenzi yao binafsi kwa vyama vya siasa. Waache mara moja kuleta uchochezi na kupandikiza chuki kwa waumini wao ili waichukie serikali yao.

Wazungumze kwa vifungu na kuvirejea kama vilivyoandikwa na siyo kudakia matukio. Kazi ya kiongozi wa Dini siyo kuanza kutafuta umaarufu mitandao aka kutaka sifa. Kazi ya kiongozi wa Dini ni kufundisha upendo ,amani ,umoja , mshikamano, kusameheana na unyenyekevu. Ni kazi ya kiongozi wa Dini kuipomya mioyo iliyojeruhiwa ,kuumizwa na kuifundisha namna ya kusamehe na kufungua ukurasa mpya.

Siyo vyema kiongozi wa Dini kuanza kupandikiza chuki ,uhasama ,vinyongo ,visasi,maripizi ,mivutano na migogoro ya aina yoyote ile katika mioyo ya waumini.

Lakini pia viongozi wa Dini wajue kuwa wao ni wanadamu na siyo watakatifu au Miungu. Wao pia wanakosea na hawajakamilika. Hivyo wasijihesabie haki na ukamilifu.wasijipe haki ya kukosoa pasipo kukosolewa. Wasijipe umalaika. Wanaotaka kuwa wanasiasa basi wavue haraka majoho na kupanda majukwaani. Serikali Yetu pia isisite kufuatilia mienendo ya baadhi ya viongozi wa Dini wenye kuonekana kuleta uchonganishi na kuchochea uhasama na chuki kwa watu dhidi ya serikali. Isikubali kuona kiongozi yeyote akifanya upotoshaji kwa watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
IMG_20260118_074401.jpg
 
Eliya
Alimkabili Mfalme Ahabu na Malkia Yezebeli
Alipinga matumizi mabaya ya madaraka (kisa cha Naboth)
 
Isaya
Aliwashauri wafalme kama Ahazi na Hezekia
Alionya juu ya mikataba ya kisiasa bila kumtegemea Mungu
 
Na ninyi wanasiasa acheni kuingilia mambo ya dini, kwa kututengenezea maigizo feki ya maandamano ya wakatoliki wa mchongo kwenda ubalozi wa Vatican.
 
Utter nonsense!

Vitabu vitakatifu vinakataza kuua, kuiba, etc. Na haya ndiyo makatazo wanayohubiri viongozi wetu wa dini. Samia The Killer na ninyi chawa wake mna dini yenu inayoruhusu kuua critics na kuiba kura?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Watu wanakwenda kwenye nyumba za ibada kusikiliza neno la Mungu na siyo kwenda kusikiliza hisia za mtu na mtizamo wake wa kisiasa au mapenzi yake kwa chama fulani cha siasa. Watu wanakwenda kupata chakula cha kiroho na siyo kwenda kusikiliza uwanaharakati na habari za harakati katika madhabahu.

Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wamesahau kabisa wajibu wao wawapo katika madhabahu na nyumba za ibada . Badala yake yamejivika uanaharakati na kujibika kengele shingoni mwao pamoja na kuwa vipaza sauti vya wanaharakati walioishiwa hoja na kufirisika kifikra. Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wanahuburi siasa na kuleta michanganyo mpaka mtu unajiuliza ikiwa upo ni kanisani ama upo kwenye vikao vya chama ama kwenye mikutano ya kampeni.

Wengine wanafikia kuanza hadi kutoa matamko ya kisiasa ama kukariri Makelele ya Viroja vya wanaharakati waliokosa muelekeo na kutaka kuishinikiza serikali ama kuleta upotoshaji kwa umma. Wengine wamekuwa wakibebeshwa ajenda na wanaharakati ili wakaziongelee kwenye nyumba zao za ibada.

Chakusikitisha zaidi ni pale unapoona mazungumzo yao yakikosa msingi wa hoja zao wala kueleweka wanataka nini na kipi hawatakaa zaidi ya kudakia tu vijimaneno vya wanaharakati na wale maadui zetu wenye lengo Baya na Taifa letu.

Wengine wamekuwa wakizungumza mambo yenye kuleta uchonganishi kwa wananchi dhidi ya serikali yao. Rai yangu ni kuwaomba viongozi wetu wote wa Dini kujikita katika kuhubiri neno la Mungu na siyo hisia zao binafsi. Vitabu vitakatifu ndio uwe muongozo wao na siyo mapenzi yao binafsi kwa vyama vya siasa. Waache mara moja kuleta uchochezi na kupandikiza chuki kwa waumini wao ili waichukie serikali yao.

Wazungumze kwa vifungu na kuvirejea kama vilivyoandikwa na siyo kudakia matukio. Kazi ya kiongozi wa Dini siyo kuanza kutafuta umaarufu mitandao aka kutaka sifa. Kazi ya kiongozi wa Dini ni kufundisha upendo ,amani ,umoja , mshikamano, kusameheana na unyenyekevu. Ni kazi ya kiongozi wa Dini kuipomya mioyo iliyojeruhiwa ,kuumizwa na kuifundisha namna ya kusamehe na kufungua ukurasa mpya.

Siyo vyema kiongozi wa Dini kuanza kupandikiza chuki ,uhasama ,vinyongo ,visasi,maripizi ,mivutano na migogoro ya aina yoyote ile katika mioyo ya waumini.

Lakini pia viongozi wa Dini wajue kuwa wao ni wanadamu na siyo watakatifu au Miungu. Wao pia wanakosea na hawajakamilika. Hivyo wasijihesabie haki na ukamilifu.wasijipe haki ya kukosoa pasipo kukosolewa. Wasijipe umalaika. Wanaotaka kuwa wanasiasa basi wavue haraka majoho na kupanda majukwaani. Serikali Yetu pia isisite kufuatilia mienendo ya baadhi ya viongozi wa Dini wenye kuonekana kuleta uchonganishi na kuchochea uhasama na chuki kwa watu dhidi ya serikali. Isikubali kuona kiongozi yeyote akifanya upotoshaji kwa watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na wewe umelipwa shilingi ngapi kutuletea UHARO wako hapo??

Watu wasio na hatia wameuwawa harafu viongozi wanaitwa dini wakae kimya kuteseka wauaji? Basi viongozi hao watakuja hawataki kabisa!!
 
Who are you?
Mwash
Utter nonsense!

Vitabu vitakatifu vinakataza kuua, kuiba, etc. Na haya ndiyo makatazo wanayohubiri viongozi wetu wa dini. Samia The Killer na ninyi chawa wake mna dini yenu inayoruhusu kuua critics na kuiba kura?
Uwe na adabu kwa mamlaka na siyo kuropoka ropoka Hovyo kama lilevi la gongo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Watu wanakwenda kwenye nyumba za ibada kusikiliza neno la Mungu na siyo kwenda kusikiliza hisia za mtu na mtizamo wake wa kisiasa au mapenzi yake kwa chama fulani cha siasa. Watu wanakwenda kupata chakula cha kiroho na siyo kwenda kusikiliza uwanaharakati na habari za harakati katika madhabahu.

Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wamesahau kabisa wajibu wao wawapo katika madhabahu na nyumba za ibada . Badala yake yamejivika uanaharakati na kujibika kengele shingoni mwao pamoja na kuwa vipaza sauti vya wanaharakati walioishiwa hoja na kufirisika kifikra. Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wanahuburi siasa na kuleta michanganyo mpaka mtu unajiuliza ikiwa upo ni kanisani ama upo kwenye vikao vya chama ama kwenye mikutano ya kampeni.

Wengine wanafikia kuanza hadi kutoa matamko ya kisiasa ama kukariri Makelele ya Viroja vya wanaharakati waliokosa muelekeo na kutaka kuishinikiza serikali ama kuleta upotoshaji kwa umma. Wengine wamekuwa wakibebeshwa ajenda na wanaharakati ili wakaziongelee kwenye nyumba zao za ibada.

Chakusikitisha zaidi ni pale unapoona mazungumzo yao yakikosa msingi wa hoja zao wala kueleweka wanataka nini na kipi hawatakaa zaidi ya kudakia tu vijimaneno vya wanaharakati na wale maadui zetu wenye lengo Baya na Taifa letu.

Wengine wamekuwa wakizungumza mambo yenye kuleta uchonganishi kwa wananchi dhidi ya serikali yao. Rai yangu ni kuwaomba viongozi wetu wote wa Dini kujikita katika kuhubiri neno la Mungu na siyo hisia zao binafsi. Vitabu vitakatifu ndio uwe muongozo wao na siyo mapenzi yao binafsi kwa vyama vya siasa. Waache mara moja kuleta uchochezi na kupandikiza chuki kwa waumini wao ili waichukie serikali yao.

Wazungumze kwa vifungu na kuvirejea kama vilivyoandikwa na siyo kudakia matukio. Kazi ya kiongozi wa Dini siyo kuanza kutafuta umaarufu mitandao aka kutaka sifa. Kazi ya kiongozi wa Dini ni kufundisha upendo ,amani ,umoja , mshikamano, kusameheana na unyenyekevu. Ni kazi ya kiongozi wa Dini kuipomya mioyo iliyojeruhiwa ,kuumizwa na kuifundisha namna ya kusamehe na kufungua ukurasa mpya.

Siyo vyema kiongozi wa Dini kuanza kupandikiza chuki ,uhasama ,vinyongo ,visasi,maripizi ,mivutano na migogoro ya aina yoyote ile katika mioyo ya waumini.

Lakini pia viongozi wa Dini wajue kuwa wao ni wanadamu na siyo watakatifu au Miungu. Wao pia wanakosea na hawajakamilika. Hivyo wasijihesabie haki na ukamilifu.wasijipe haki ya kukosoa pasipo kukosolewa. Wasijipe umalaika. Wanaotaka kuwa wanasiasa basi wavue haraka majoho na kupanda majukwaani. Serikali Yetu pia isisite kufuatilia mienendo ya baadhi ya viongozi wa Dini wenye kuonekana kuleta uchonganishi na kuchochea uhasama na chuki kwa watu dhidi ya serikali. Isikubali kuona kiongozi yeyote akifanya upotoshaji kwa watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na jeshi la polisi lijikite kufanya nini?
 
Back
Top Bottom