Viongozi wa dini na mashaka tuliyonayo

Viongozi wa dini na mashaka tuliyonayo

Hivi haya mambo ni Africa pekee au kuna mabara mengine labda yana hizi mambo.

Ni ya ajabu mno mtu kama nabii tito anakua na waumini wa kutosha tu daaah
 
View attachment 1751111
Dini siku hizi imejaa na vibweka na vitiko vya kila aina.
Si ajabu ukakuta Mchungaji kawapa mimba kondoo zake hata Saba na woye wanajuana.

178897455_927705341320553_9044122895307973526_n.jpg
 
Back
Top Bottom