Viongozi wa CHADEMA watatu wasekwa rumande - MBINGA

Viongozi wa CHADEMA watatu wasekwa rumande - MBINGA

SUNGURA-MJANJA

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
200
Reaction score
33
Ni M/kiti, Katibu, na katibu mwenezi wa kijiji cha MKAKO kata ya MKAKO..Viongozi hao wamekamatwa na polisi na kuwekwa ndani.Ni baada ya kumshinikiza M/kiti wa kijiji hicho atoke madarakani kutokana na kitendo cha m/kiti huyu kula hela ya mradi wa maji wa kijiji hicho...

SOURCE katibu mwenezi Chadema wilaya ya MBINGA.
 
chadema bila kuswekwa rumande bado hujawa kamanda.. hongereni sana makamanda kwa kutimiza vigezo vya chadema
 
Inapaswa kuwepo na taratibu za kisheria za kumtoa kiongozi yeyote madarakani kabla ya kumaliza muda wake endapo anafanya vitendo vyovyote viovu. na hii iwe ni haki ya mwanainchi yeyote na sio lazima chama pinzani tu. Namna hii chadema watalaumiwa na kuonekana wakorofi kila siku.
 
hongera sana makamanda ndo ukomavu wa kisiasa akuna ushindi usiokuwa na vita
 
hao BAVICHA tumewachoka dawa yao ni kuwasweka ndani. MBAVU!!!
 
Tatizo wana virago na kaka zao magerezani huku lazma wakinukishe ili waende wakapumuliwe na ndio maana hata gwiji lao Lema akikaa Uraiani miezi mitatu lazma alikoroge ili aende Rumande kidogo akawatembelee mukaka!
 
Ni mwendelezo wa unyanyasaji wa jeshi la polis dhidi ya wapinzani! Mbinga ni miongoni mwa wilaya tajiri kusini lakini barabara za vijijini hazipitiki,watu wanalala mabarabarani, mfano ni barabara za Nyoni- Maguu, mbinga- litembo, Nyoni-tingi. Nk. Haina maji safi na salama! Wabunge wa mbinga wanakaa dar, na hawajui yanayoendelea mbinga! Kwa mwendo huu wa hujuma ya ma interahamwe hatutafika kamwe kama taifa!
 
Ni mwendelezo wa unyanyasaji wa jeshi la polis dhidi ya wapinzani! Mbinga ni miongoni mwa wilaya tajiri kusini lakini barabara za vijijini hazipitiki,watu wanalala mabarabarani, mfano ni barabara za Nyoni- Maguu, mbinga- litembo, Nyoni-tingi. Nk. Haina maji safi na salama! Wabunge wa mbinga wanakaa dar, na hawajui yanayoendelea mbinga! Kwa mwendo huu wa hujuma ya ma interahamwe hatutafika kamwe kama taifa!

Upo sahihi mkuu
 
chadema bila kuswekwa rumande bado hujawa kamanda.. hongereni sana makamanda kwa kutimiza vigezo vya chadema

tunapochangia mijadala mipana ya kitaifa tujichunguze kwamba akili zetu hazijatumia kilevi ndio tuchangie la sivyo ccm wote tutaonekana matahira.
 
Ni mwendelezo wa unyanyasaji wa jeshi la polis dhidi ya wapinzani! Mbinga ni miongoni mwa wilaya tajiri kusini lakini barabara za vijijini hazipitiki,watu wanalala mabarabarani, mfano ni barabara za Nyoni- Maguu, mbinga- litembo, Nyoni-tingi. Nk. Haina maji safi na salama! Wabunge wa mbinga wanakaa dar, na hawajui yanayoendelea mbinga! Kwa mwendo huu wa hujuma ya ma interahamwe hatutafika kamwe kama taifa!

Tatizo hawa nduguzetu wa chadema wanatumia nguvu nyingi badala ya sheria
 
Makamanda, komaeni.
Hapa nilikuwa napitia Police General Order nimepitia vifungu mbali mbali lakini kikubwa nilichogundua ni kuwa bado jeshi letu linatumika kama lilivyokuwa jeshi la mkoloni. Ukamataji na hasa pale inapodhaniwa kuwa mtu anakataa kukamatwa kiholela imewekwa so much loose kiasi cha kuwapa polisi mwanya wa kukamata hata bila sababu. Nauliza wanajanvi na polisi Nini maana ya ukamataji halali au lawful arrest?
 
Lupango wamejengewa wanadamu tena wazalendo..akina mjusi wao haiwahusu ...wenye kuzamisha meli na kuiba sukari haiwahusu ... ila baada ya 2015 kuna uwezekano mkubwa wa mambo kubadilika ...
 
nivigumu kutofautisha kati ya ccm na wizi. binafsi nkisikia ccm ni sawa na kusikia wizi and vice versa.
 
Back
Top Bottom