Makaro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 615
- 136
Lazima walitaka kuleta fujo, Polisi nawashauri wahifadhini sero hao wahuni mpaka Mkutano wa Waziri Mwigulu upite.
Kati ya hao viongozi na Mwigulu nani mhuni, muuwaji,.......
Lazima walitaka kuleta fujo, Polisi nawashauri wahifadhini sero hao wahuni mpaka Mkutano wa Waziri Mwigulu upite.
mkabila ni nani sasa wewe unayeangalia last name ya mtu na kuwahukumu badala vitendo na tabia ya mtu??"Katibu wa bavicha wilaya Rayman minja,"
Hiki chama kwa ukabila, mko juu!!
Tena walale polisi kabisa, wamezoea fujo sana hawa.
hivi kutetea haki zako wewe Masikini MSALANI na wajukuu zako imegeuka kuwa fujo ?
Muda huu mwigulu akisubiliwa kuhutubia hapa kiomboi,viongozi wa cdm wilaya wamekamatwa na green guard wakiwa na polisi,,,
Waliokamatwa ni katibu wa wilaya ndg Joseph Alfayo na Katibu wa bavicha wilaya Rayman minja
ccm inafanya siasa za kishamba sana .
ondoa shaka mkuu , bado kitambo kidogo sana ! Nakuhakikishia kuna watu watakimbia nchi hii mjomba .
hivi kutetea haki zako wewe Masikini MSALANI na wajukuu zako imegeuka kuwa fujo ?
jamaa hawalali ile ahadi waliopewa kwamba cdm ikichkuwa nchi kila mangi atajengewa supermarket inawatesa"katibu wa bavicha wilaya rayman minja,"
hiki chama kwa ukabila, mko juu!!
Tena walale polisi kabisa, wamezoea fujo sana hawa.
Zamani, enzi zilee, nilidhani mtu akienda Ulaya basi anakuwa na busara!!!Hawa jamaa inabidi serikali iwajengee sero yao wenyewe.
Kwa nini wanapenda sana kwenda huko?
Kuna kitu gani wanaking'ang'ania huko? halafu wakitoka utaona nyuso zao zina furaha kweli kama vile wamefikishwa kwenye raha vile??
Muda huu mwigulu akisubiliwa kuhutubia hapa kiomboi,viongozi wa cdm wilaya wamekamatwa na green guard wakiwa na polisi,,,
Waliokamatwa ni katibu wa wilaya ndg Joseph Alfayo na Katibu wa bavicha wilaya Rayman minja
UPDATES
-Wameachiwa now
Mi nipo kwenye mkutano hakuna kiongozi yeyote aliyeshikiliwa na polisi! Huu ni uwongo
Hawa jamaa inabidi serikali iwajengee sero yao wenyewe.
Kwa nini wanapenda sana kwenda huko?
Kuna kitu gani wanaking'ang'ania huko? halafu wakitoka utaona nyuso zao zina furaha kweli kama vile wamefikishwa kwenye raha vile??
Hii post bosi ameipenda sanaLazima walitaka kuleta fujo, Polisi nawashauri wahifadhini sero hao wahuni mpaka Mkutano wa Waziri Mwigulu upite.
Lazima walitaka kuleta fujo, Polisi nawashauri wahifadhini sero hao wahuni mpaka Mkutano wa Waziri Mwigulu upite.
Hawa jamaa inabidi serikali iwajengee sero yao wenyewe.
Kwa nini wanapenda sana kwenda huko?
Kuna kitu gani wanaking'ang'ania huko? halafu wakitoka utaona nyuso zao zina furaha kweli kama vile wamefikishwa kwenye raha vile??