Viongozi wa CAF wasimiliki timu zinazoshiriki mashindano wanayosimamia

Viongozi wa CAF wasimiliki timu zinazoshiriki mashindano wanayosimamia

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Umekuwepo uhuni kwenye mashindano ya CAF, pale ambapo ambapo zinacheza timu za viongozi wa CAF

Rais wa CAF Patrice Motsseppe ndo mmiliki wa Mamelod Sundown na Vice president wa CAF Fouz Lekjaa ndo mmiliki wa RS Berkane

Wote tunaona upendeleo anaopewa Mamelod Sundown kwenye haya mashindano,
Mamelod ndo timu pekee Kwenye mashindano anacheza na mpinzani mchana wa jua kali saa 8 au saa 9, Mamelod hajawahi kucheza mechi ya CAF saa 10 na kuendelea
Kumbuka huu ugumu wa hali ya hewa ashauzoea na anafanya maksudi ili kuwapa wapinzani ugumu

Mamelod amekuwa akicheza kwa kuchagua viwanja na kupanga waaamuzi na waamuzi wanakuwa upande wake kwenye matukio

Tukumbuke jopo waamuzi walikataa goli la Yanga ambalo hata mwanangu darasa la 3 alitambua kuwa lile ni goli

Hii imechipua Kwa makamu wake Fouz Lekjaa ambaye ndo mmiliki wa RS Berkane alifanya figusi nyingi mechi ya Simba, Kwanza alikataa uwanja wa Mkapa pamoja na juhudi za serikali, TFF na Simba hawakufanikiwa

Pili alibadili muda wa mchezo ulikuwa ipigwe saa 1 usiku hadi saa 10, hayo yote ili kuipa upendeleo timu yake

Tuliona waamuzi walikuwa upande wa RS Berkane, yaani waliambiwa bingwa awe RS Berkane, mwamuzi alifanya kila mbinu ila RS Berkane wapate urahisi wa mchezo

Uchaguzi wa CAF ujao napendekeza Rais awe Samuel Eto'o
 
Umekuwepo uhuni kwenye mashindano ya CAF, pale ambapo ambapo zinacheza timu za viongozi wa CAF

Rais wa CAF Patrice Motsseppe ndo mmiliki wa Mamelod Sundown na Vice president wa CAF Fouz Lekjaa ndo mmiliki wa RS Berkane

Wote tunaona upendeleo anaopewa Mamelod Sundown kwenye haya mashindano,
Mamelod ndo timu pekee Kwenye mashindano anacheza na mpinzani mchana wa jua kali saa 8 au saa 9, Mamelod hajawahi kucheza mechi ya CAF saa 10 na kuendelea
Kumbuka huu ugumu wa hali ya hewa ashauzoea na anafanya maksudi ili kuwapa wapinzani ugumu

Mamelod amekuwa akicheza kwa kuchagua viwanja na kupanga waaamuzi na waamuzi wanakuwa upande wake kwenye matukio

Tukumbuke jopo waamuzi walikataa goli la Yanga ambalo hata mwanangu darasa la 3 alitambua kuwa lile ni goli

Hii imechipua Kwa makamu wake Fouz Lekjaa ambaye ndo mmiliki wa RS Berkane alifanya figusi nyingi mechi ya Simba, Kwanza alikataa uwanja wa Mkapa pamoja na juhudi za serikali, TFF na Simba hawakufanikiwa

Pili alibadili muda wa mchezo ulikuwa ipigwe saa 1 usiku hadi saa 10, hayo yote ili kuipa upendeleo timu yake

Tuliona waamuzi walikuwa upande wa RS Berkane, yaani waliambiwa bingwa awe RS Berkane, mwamuzi alifanya kila mbinu ila RS Berkane wapate urahisi wa mchezo

Uchaguzi wa CAF ujao napendekeza Rais awe Samuel Eto'o
Kwa usajili ambao huwa wanafanya sioni mantiki ya hizi figisu zao. Africa tuna safari ndefu sana
 
Kwahiyo unataka Mzee Kalunde ambaye HAJAWAHI kusoma hata mpira ndio akawe Mwenyekiti wa CAF?
 
IMG_20250523_203423.jpg
 
Mfumo unataka wenye Vilabu vyao ndo waongoze Mpira wao!
 
Huyo Karia na TFF yake ni watu wa Simba
 
Umekuwepo uhuni kwenye mashindano ya CAF, pale ambapo ambapo zinacheza timu za viongozi wa CAF

Rais wa CAF Patrice Motsseppe ndo mmiliki wa Mamelod Sundown na Vice president wa CAF Fouz Lekjaa ndo mmiliki wa RS Berkane

Wote tunaona upendeleo anaopewa Mamelod Sundown kwenye haya mashindano,
Mamelod ndo timu pekee Kwenye mashindano anacheza na mpinzani mchana wa jua kali saa 8 au saa 9, Mamelod hajawahi kucheza mechi ya CAF saa 10 na kuendelea
Kumbuka huu ugumu wa hali ya hewa ashauzoea na anafanya maksudi ili kuwapa wapinzani ugumu

Mamelod amekuwa akicheza kwa kuchagua viwanja na kupanga waaamuzi na waamuzi wanakuwa upande wake kwenye matukio

Tukumbuke jopo waamuzi walikataa goli la Yanga ambalo hata mwanangu darasa la 3 alitambua kuwa lile ni goli

Hii imechipua Kwa makamu wake Fouz Lekjaa ambaye ndo mmiliki wa RS Berkane alifanya figusi nyingi mechi ya Simba, Kwanza alikataa uwanja wa Mkapa pamoja na juhudi za serikali, TFF na Simba hawakufanikiwa

Pili alibadili muda wa mchezo ulikuwa ipigwe saa 1 usiku hadi saa 10, hayo yote ili kuipa upendeleo timu yake

Tuliona waamuzi walikuwa upande wa RS Berkane, yaani waliambiwa bingwa awe RS Berkane, mwamuzi alifanya kila mbinu ila RS Berkane wapate urahisi wa mchezo

Uchaguzi wa CAF ujao napendekeza Rais awe Samuel Eto'o
Full time unapata on target 1 unakurupuka kuja kulaumu viongoz wa CAF, seriously 🚮🚮🚮
 

Attachments

  • 20250526_105958.jpg
    20250526_105958.jpg
    198.1 KB · Views: 17
Kuna ukweli ndani yake lakini huenda Simba ingepata ubingwa jana huu ujumbe usingekuwepo.
 
Mechi ya yanga na mamelod mlisema gori halikuwa gori.... Refa hakuwa na kosa kutokwenda kuangalia VAR... Leo mnasema kilichoimbwa na yanga miaka 2 nyuma.

Mabadiliko yaanzie nyumbani, MWENYEKITI WA BODI YA LIGI ASIWE MWANACHAMA WA TIMU YOYOTE, C.E.O. kwa mkutadha huo kunatakiwa kutafutwe taasisi binafsi itakayokuwa huru kufanya maamzi yao bila kuingiliwa. Kimsingi Nchi imefurahi😂😂
1748246526091.jpg
 
Umekuwepo uhuni kwenye mashindano ya CAF, pale ambapo ambapo zinacheza timu za viongozi wa CAF

Rais wa CAF Patrice Motsseppe ndo mmiliki wa Mamelod Sundown na Vice president wa CAF Fouz Lekjaa ndo mmiliki wa RS Berkane

Wote tunaona upendeleo anaopewa Mamelod Sundown kwenye haya mashindano,
Mamelod ndo timu pekee Kwenye mashindano anacheza na mpinzani mchana wa jua kali saa 8 au saa 9, Mamelod hajawahi kucheza mechi ya CAF saa 10 na kuendelea
Kumbuka huu ugumu wa hali ya hewa ashauzoea na anafanya maksudi ili kuwapa wapinzani ugumu

Mamelod amekuwa akicheza kwa kuchagua viwanja na kupanga waaamuzi na waamuzi wanakuwa upande wake kwenye matukio

Tukumbuke jopo waamuzi walikataa goli la Yanga ambalo hata mwanangu darasa la 3 alitambua kuwa lile ni goli

Hii imechipua Kwa makamu wake Fouz Lekjaa ambaye ndo mmiliki wa RS Berkane alifanya figusi nyingi mechi ya Simba, Kwanza alikataa uwanja wa Mkapa pamoja na juhudi za serikali, TFF na Simba hawakufanikiwa

Pili alibadili muda wa mchezo ulikuwa ipigwe saa 1 usiku hadi saa 10, hayo yote ili kuipa upendeleo timu yake

Tuliona waamuzi walikuwa upande wa RS Berkane, yaani waliambiwa bingwa awe RS Berkane, mwamuzi alifanya kila mbinu ila RS Berkane wapate urahisi wa mchezo

Uchaguzi wa CAF ujao napendekeza Rais awe Samuel Eto'o
Mkiambiwa waafrica nyie manyani tuu mnakataa lakini mambo kama haya yanadhihirisha pasipo shaka kwamba mwafrica ni nyani aliye changamka
 
Refa wa jana angechezesha kama Kayombo dhidi ya Mashujaa basi Berkane na CAF officials wangechomwa moto pale Aman. Wazulu walionewa sana mechi zote mbili lakini hatukusikia wakilalamika. Simba ilipofika mashabiki mshukuru viongozi wenu sababu timu ni mbovu mno. Endeleeni kuomba Yanga waendeleze mgomo wa kutokucheza, wakikubali kucheza Simba mtaabishwa.
 
Back
Top Bottom