Viongozi wa BAKWATA waaswa na Rais Magufuli

D2050

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
1,901
1,063
Ama hakika raisi Leo umeongea jambo muhim kabisa la kuwataka BAKWATA wazitunze Mali za waislam hasa ardhi wanayomiliki. hili swala la ardhi na Mali za waislam kutumika hovyo ndilo lililopelekea shekhe PONDA na waislam baadhi kukaa ndani. Leo nimefurahi JPM umewaasa live bila chenga na umewaambia waache kudanganyika na wawekezaji wanaowadanganya na kuwapa ardhi.asante sana JPM
 
Mpaka rais ameona bakwata walivyo mafisad kwa kuuza maeneo ya waislam kama yao!hii bakwata ya kuvunjwa kabisa ufisadi umezidi hawaogopi ht mungu .
Walimuuzia dewji sehem pale dar kihuni kihuni tu.me bakwata sina imani nao kabisa na staki hata wanizoee
 
Mpaka rais ameona bakwata walivyo mafisad kwa kuuza maeneo ya waislam kama yao!hii bakwata ya kuvunjwa kabisa ufisadi umezidi hawaogopi ht mungu .
Walimuuzia dewji sehem pale dar kihuni kihuni tu.me bakwata sina imani nao kabisa na staki hata wanizoee

Kawaambia hayo yote nakawaagiza wapitie mikataba ya mauziano mikataba mingine ni ya hovyo
 
Akiongea ponda anaonekana mdini alafu elimu madrasa, akiongea huyo mnashangalia. Ama kweli ugalatia ni shida
Akili ndogo sio lazima ipimwe kwa uzito wa kg! Ni jinsi mtu anavyojipambanua mbele ya hadhira yake. Jpm kawaponda Bakwata wewe unadhani kamponda lukuvi,umekula maharage ya wapi ww??
 
Akili ndogo sio lazima ipimwe kwa uzito wa kg! Ni jinsi mtu anavyojipambanua mbele ya hadhira yake. Jpm kawaponda Bakwata wewe unadhani kamponda lukuvi,umekula maharage ya wapi ww??

Wewe mwenywe hujaelewa mataputapu uliyoongea
 
Kama kweli kasema wafanyaje kupitia mikataba ya BAKWATA basi na serikalini angeanza na ya madini pia
 
Sasa siku zote waislamu walipokuwa wakisema kuwa bakwata inapaswa kuundwa upya

Lawama ilikuwa waislamu nyingi kwanini mnapenda kulalamika mara wanamsimamo mkali.. wenye akili walishaona kuwa bakwata toka kuasisiwa hakuna cha maana walichofanya zaidi ya kufuja mali..leo rais amewaambia ukweli.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom