augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Mwaka 2011 machafuko ya LIBYA walikuwa kimya walipoona NATO inaingilia wakaanza kuitana na kutoa matamko.2013 baada ya kuona UFARANSA Imechukua jukumu na kupeleka jeshi kusaidia serikali wameanza kuitana eti kuongeza wanajesh!MUDA WOTE MLIKUWA WAPI?