BUKOMBE- Viongozi wa ACT-WAZALENDO, Wametolewa "Nduki" Jukwaani na Wananchi baada ya kutuhumiwa kuwa ni Vibaraka wa CCM.
Tukio hilo limetokea juzi kwenye Mkutano wa hadhara ulioitishwa na Viongozi wa Chama hicho katika uwanja wa Kilimahewa Mkoani Geita.
Chanzo Mwananchi tokeo la leo,Ukurasa wa 31.
==================
Tukio hilo limetokea juzi kwenye Mkutano wa hadhara ulioitishwa na Viongozi wa Chama hicho katika uwanja wa Kilimahewa Mkoani Geita.
Chanzo Mwananchi tokeo la leo,Ukurasa wa 31.
==================
BUKOMBE. Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wametolewa nduki, jukwaani na wananchi baada ya kutuhumiwa na kuwa ni vibaraka wa CCM,
Tukio hili lilitokea kwenye mkutano wa kwanza wa hadhara ulioitishwa na viongozi wa chama hicho kwenye uwanja wa Kilimahewa mkoani Geita baada ya wananchi kuwazomea na kuwafukuza jukwaani.
Zomeazomea hiyo ilikuja baada ya mkazi wa kilimahewa, Paulo Kabati kuwa viongozi hao wanachafua halia ya hewa baada ya kumtaja Zitto Kabwe ambaye amehamia ACT Wazalendo ilihali uchafu wa mwaka 2010 alikweda Bukombe kumpigia debe mbunge wao, Profesa Kanalwanda Kahigi ( Chadema).