Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Jana katika kipindi cha Kumekucha cha ITV, kiongozi mmoja wa madereva wa mabasi alidai kuwa viongozi wa Tanzania Bus Owners Association (TABOA) wanakwepa kuwapatia ajira za uhakika madereva nabadla yake huchukua walevi wa viroba vya Konyagi mitaani na kuwapatia mabasi wasafirishe abiria badala ya madereva makini,
Nini maoni yako?
Nini maoni yako?