Viongozi taboa kuajiri madereva walevi

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
Jana katika kipindi cha Kumekucha cha ITV, kiongozi mmoja wa madereva wa mabasi alidai kuwa viongozi wa Tanzania Bus Owners Association (TABOA) wanakwepa kuwapatia ajira za uhakika madereva nabadla yake huchukua walevi wa viroba vya Konyagi mitaani na kuwapatia mabasi wasafirishe abiria badala ya madereva makini,
Nini maoni yako?
 
Back
Top Bottom