Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
Hali imeshabadilika tofauti na kipindi kile, vitavunwa kisha vitaingia mikononi mwa mabepari kisha watapanga bei zao kama ilivyo sasa.Mwezi huu wa 3 mbona watu wanavuna, Bei zinashuka tena
Watanzania walio wengi hawana uwezo kiuchumi wa kukabiliana na hilo swala.
Kama kuna biashara zilizo kwenye trend hivi sasa, basi ni HARDWARE na MAZAO.
10,000 - 7500 = 2500 

chama chetu cha machawa chanyea nchi samia hee..... kikwetee hee...mwinyi hee...makamba hee...nape heee wanyea nchi.
