Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,022
- 28,077
Hali imeshabadilika tofauti na kipindi kile, vitavunwa kisha vitaingia mikononi mwa mabepari kisha watapanga bei zao kama ilivyo sasa.Mwezi huu wa 3 mbona watu wanavuna, Bei zinashuka tena
Watanzania walio wengi hawana uwezo kiuchumi wa kukabiliana na hilo swala.
Kama kuna biashara zilizo kwenye trend hivi sasa, basi ni HARDWARE na MAZAO.