Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu.
Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama.
Kwa nyakati za hivi karibuni limeibuka wimbi la Madikteta katili duniani jinsia zote wa kiume na wakike wakitawala kwa mtutu na bunduki na mikono yenye kunuka damu.
Hawa Jamaa wamegundua Slogan yao WANALINDA RASILIMALI ZA NCHI, wanatumia Slogan hiyo kuhalalisha uharamia wao.
Wanamiliki magenge ambayo huteka watu na hata kuua kwa mlengo wa kuwalinda madikteta.
Mbaya zaidi kuna watawaliwa nao kazi yao imekua kuwasifu madikteta wakidanganywa na vipande 30 vya fedha huku maisha yao yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Watawala waovu waache kujificha kwenye kivuli cha kulinda rasirimali.
Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama.
Kwa nyakati za hivi karibuni limeibuka wimbi la Madikteta katili duniani jinsia zote wa kiume na wakike wakitawala kwa mtutu na bunduki na mikono yenye kunuka damu.
Hawa Jamaa wamegundua Slogan yao WANALINDA RASILIMALI ZA NCHI, wanatumia Slogan hiyo kuhalalisha uharamia wao.
Wanamiliki magenge ambayo huteka watu na hata kuua kwa mlengo wa kuwalinda madikteta.
Mbaya zaidi kuna watawaliwa nao kazi yao imekua kuwasifu madikteta wakidanganywa na vipande 30 vya fedha huku maisha yao yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Watawala waovu waache kujificha kwenye kivuli cha kulinda rasirimali.