DPP mpya Mh Biswaro Mganga,mwanasheria mkuu na mawaziri wengi tu kama prof. Muhongo, Mh. Wasira, mwenyekiti wa rasimu ya katiba mh. Warioba, mh. Anthony Mtaka wote wanatokea mkoa wa Mara.
Misimamo isiyoyumba na kutokuwa na kashfa za kifisadi ndio sababu kubwa ya Rais Kikwete kuwapenda hawa jamaa wa mkoa Wa Mara.
Wassira for presidency 2015.
Misimamo isiyoyumba na kutokuwa na kashfa za kifisadi ndio sababu kubwa ya Rais Kikwete kuwapenda hawa jamaa wa mkoa Wa Mara.
Wassira for presidency 2015.