CWT vingozi wake wengi ni walimu wa shule za msingi,na huw wanapigia kura wakifkiria kushindana na walimu wenye diploma°ree....wakipata madaraka ndio hao kila kitu wanaona sawa tu...fyuuumh!!
Asilimia 90 ya walimu ni type ya bashite...walifeli kwa hyo ni waoga sana..tena bora waliopo private schools wanajielewa..serikalini ni vilaza vilaza kabisaaa...
Asilimia 90 ya walimu ni type ya bashite...walifeli kwa hyo ni waoga sana..tena bora waliopo private schools wanajielewa..serikalini ni vilaza vilaza kabisaaa...
Wakuu huu uoga wa watanzania ndio unaotunyima hata haki zetu sio cwt tu tatizo jingine linakuja pale watu wanapopeana vyeo wengi wao wanashindwa kukoroma kwa Kuogopa waajiri wao.
Watanzania wote makunguru, kumbuka enzi za mita mia mbili, kila mtu alienda kulala, nani afe?! Haya hawa wa vyuo vikuu ndo waoga usipime...mtu kasaini kulipa mkopo asilimia 8 kakatwa asilimia 15 anachekelea tu au kuishia kupiga kelele mitandaoni!!
CWT vingozi wake wengi ni walimu wa shule za msingi,na huw wanapigia kura wakifkiria kushindana na walimu wenye diploma°ree....wakipata madaraka ndio hao kila kitu wanaona sawa tu...fyuuumh!!
Hadi pale walimu wa Tanzania watakapoamua kuiga chama cha walimu wa Kenya ndipo watajikomboa
Hakuna mtu awezaye kugoma bila kuwa na uhakika wa kula maana walimu wengi mshahara wa mwezi unaisha tarehe 7 sasa nani agome wakati hana hata sh elfu moja? .
Asilimia 90 ya walimu ni type ya bashite...walifeli kwa hyo ni waoga sana..tena bora waliopo private schools wanajielewa..serikalini ni vilaza vilaza kabisaaa...
Hadi pale walimu wa Tanzania watakapoamua kuiga chama cha walimu wa Kenya ndipo watajikomboa
Hakuna mtu awezaye kugoma bila kuwa na uhakika wa kula maana walimu wengi mshahara wa mwezi unaisha tarehe 7 sasa nani agome wakati hana hata sh elfu moja? .