Viongozi CHADEMA na uhusiano wa BOT

Viongozi CHADEMA na uhusiano wa BOT

Mkuu mbona uwezo wako wa akili hauna tofauti na mlevi aliyelewa GONGO!! Angalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara!!! Pumbuvu
 
Baada ya kupambana gesi isitoke Mtwara Ukashindwa,ukabila umekuathiri.

KUSINI MTAPIGIKA SANA TU.

Hata tukipigika sawa tu.

Lakini hatuwez kupigika for the sake of wachaga.

Nyinyi mna kwenu na sisi tuna kwetu.

Usiumizwe sana na kupigika kwetu Mkuu.

Hayakuhusu.
 
CCM,Magamba acheni kupandikiza ukabila japokuwa ni kweli wachagga wanaendekeza sana ukabila.
 
unachekesha kweli wewe. hivi unajua maana ya ofisa?

bila shaka anayefuata ni Prof. Beno ndulu 9(sorry nimesahau hajatoka north)

Kuna uhusiano gani wa viongozi wakuu wa CDM na kuwahi kufanya kazi BOT?
1. Mzee Mtei alipata kuwa Gavana wa BOT
2. Marehemu Bob Makani alipata kuwa Naibu Gavana wa BOT
3. Freeman Mbowe alipata kuwa Ofisa wa BOT
NB: Kunanini BOT na kuja kuwa kiongozi wa CDM?
 
Kuna uhusiano gani wa viongozi wakuu wa CDM na kuwahi kufanya kazi BOT?
1. Mzee Mtei alipata kuwa Gavana wa BOT
2. Marehemu Bob Makani alipata kuwa Naibu Gavana wa BOT
3. Freeman Mbowe alipata kuwa Ofisa wa BOT
NB: Kunanini BOT na kuja kuwa kiongozi wa CDM?

Mkuu Mbowe alikua tarishi. Kwa kimombo tunaita Clerk. Huwezi kuwa Ofisa bila kuwa na elimu angalau Diploma. Hata mwenyewe unajua Mbowe alitaga mtihani wa form six. Ukitaga mtihani wa form six, huhesabiki kama umehitimu kidato hicho. Kwa hiyo basi Mbowe ni form four na hakuna Ofisa mwenye elimu ya kidato cha nne.
 
Mkuu mbona uwezo wako wa akili hauna tofauti na mlevi aliyelewa GONGO!! Angalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara!!! Pumbuvu

Kaka huyo ni moja ya watu wavivu wajinga na mizigo tulionao.
 
Hata tukipigika sawa tu.

Lakini hatuwez kupigika for the sake of wachaga.

Nyinyi mna kwenu na sisi tuna kwetu.

Usiumizwe sana na kupigika kwetu Mkuu.

Hayakuhusu.

Kwa akili mlizo nazo hakika mtapigika na hao hao wachaga mnaowapiga vita ndio wanakuja huko kuwekeza na watawaajiri ila kama mtakua mmeacha uvivu.
 
Kuna uhusiano gani wa viongozi wakuu wa CDM na kuwahi kufanya kazi BOT?
1. Mzee Mtei alipata kuwa Gavana wa BOT
2. Marehemu Bob Makani alipata kuwa Naibu Gavana wa BOT
3. Freeman Mbowe alipata kuwa Ofisa wa BOT
NB: Kunanini BOT na kuja kuwa kiongozi wa CDM?

Hilo la Mtei na Mbowe, ni baba mkwe na mkazia mwana. Kuna nini cha kushangaa hapo? hakuishia kumoa kazi BOT bila kuwa na vigezo, akaja kumrithisha na Uenyekiti wa chadema.

Mtei na Bob Makani wote waliajiriwa na Nyerere.

Isitoshe, ukifatilia uanzishwaji wa vyama vya upinzani Tanzania utajuwa kwanini.

Enzi hizo, wakati mfumo wa vyama vingi unarudishwa tena kwa shinikizo la Mataifa ya nje, hakuna hata chama kimoja cha upinzani wa kweli kilianzishwa na wapinzani wa ukweli kikasajiliwa. Vyama vyote vilianzishwa na watu ambao walikuwa handpicked na UWT.

Anko Zomba huwa anasema wote hao, Mtei, Bob, Mbowe, Sefu, Lipumba, Mbatia, Mrema, Bwana Mapesa "ni system tu". Hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom