Man from chato
Member
- Feb 20, 2018
- 91
- 54
Mimi ni kichaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye ukichaa yupo mmoja nchi fulani barani Afrika
Huyu hakuwa Liberia alikuwa rais wa SIERA-LEONE alipindua kijeshi, sasa hivi anakaa banda la nyuma la nyumba ya mama yake na anakunywa kangara.Valentine Stressor kama sijakosea.
Jina lake la pili ndio sababu ya hayoValentine Stressor kama sijakosea.
Sio wa Liberia huyoPamoja sana mkuu, nafikiri hapajawahi kutokea mkuu wa nchi kwa maana ya rais Africa mwenye umri mdogo kama wake by that time mpaka sasa.