Ving'amuzi vya Azam vyaanza kusumbua!

Ving'amuzi vya Azam vyaanza kusumbua!

MsakaGamba

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
392
Reaction score
141
Wakuu.

Ni dhahiri kwamba ujio wa king'amuzi cha azam ilifurahiwa na wengi hapa jukwaani na huko mitaani kwa ujumla.

Natumia king'amuzi cha azam na ilifurahia sana huduma zake na chanel zake lakini tangu juzi kimeanza kuzingua na sina hamu nacho tena.

Kwa nini?

1. Kimeaanza tabia ya kubadilisha chanel chenyewe, yaani huja shika remote wala hujabdili unashangaa tu kimesha badilisha chaneli.

2. King'amuzi kimeanza pia tabia ya kujiongeza na kupunguza sauti chenyewe. Huja amua kuongeza wala kupunguza sauti unashangaa tu kimesha jiongeza na kujipunguza sauti.

Nilijihisi labda remote ndio ina tatizo na nikajikuta natoa betri kwenye remote lakini bado hali ikawa ileile.


Nimekimbia startimes nikasema nijiunge na azam ambacho nicha mtanzania mwenzetu lakini pia nikitaraji ubora lakini nako majanga tu.

Azam nawapa siku tatu mtatue tatizo maanaa nimeuliza kwa baadhi ya wateja nao walalamikia tatizo hilo. Nitawahama fasta sana.

Azam amkeni.
 
kwangu picha huwa zinaganda. Yaani kama unaangalia channel fulani basi mara utaona picha imeganda lakini unasikia sauti, unapobadilisha channel halafu ukarudi tena ndiyo picha huendelea.

Hii huleta kero sana na baadhi ya wakati huganda mara tatu mpaka nne kwa program moja.
 
kwangu picha huwa zinaganda. Yaani kama unaangalia channel fulani basi mara utaona picha imeganda lakini unasikia sauti, unapobadilisha channel halafu ukarudi tena ndiyo picha huendelea.

Hii huleta kero sana na baadhi ya wakati huganda mara tatu mpaka nne kwa program moja.

Mkuu.

Umetaja tatizo ambalo nimesahau kulitaja. Hilo pia ni miongoni mwa tatizo yanayo nikera sana mkuu.
 
Mie huku ni Kuganda kwa channel mpaka ubadilishe ndio inaendelea,lakini nadhani tatizo litakuwa ni la network tu.
 
Angalia isije ikawa majirani wamekuonea donge wakakiroga
 
Tatizo la kuganda picha nadhani ni la network ila hayo mengine sijawahi kuyasikia kabisa. Kama ni hivyo unaweza kwenda kituo chochote kilicho karibu na wewe ili wakupe msaada ikiwemo kuipima kama kuna tatizo wakurekebishie.

Binafsi wakati nanua nilinunua king'amuzi ambacho kilikuwa kimekufa lakini walibadilisha baada ya kujulishwa na fundi wao wa ofisi.
Startimes na Azam Tv heri Azamtv mara 100 kuliko Startimes.
 
Tatizo huwa kubwa zaidi endapo kuna mvua au mawimbi
 
Wakuu.

Ni dhahiri kwamba ujio wa king'amuzi cha azam ilifurahiwa na wengi hapa jukwaani na huko mitaani kwa ujumla.

Natumia king'amuzi cha azam na ilifurahia sana huduma zake na chanel zake lakini tangu juzi kimeanza kuzingua na sina hamu nacho tena.

Kwa nini?

1. Kimeaanza tabia ya kubadilisha chanel chenyewe, yaani huja shika remote wala hujabdili unashangaa tu kimesha badilisha chaneli.

2. King'amuzi kimeanza pia tabia ya kujiongeza na kupunguza sauti chenyewe. Huja amua kuongeza wala kupunguza sauti unashangaa tu kimesha jiongeza na kujipunguza sauti.

Nilijihisi labda remote ndio ina tatizo na nikajikuta natoa betri kwenye remote lakini bado hali ikawa ileile.


Nimekimbia startimes nikasema nijiunge na azam ambacho nicha mtanzania mwenzetu lakini pia nikitaraji ubora lakini nako majanga tu.

Azam nawapa siku tatu mtatue tatizo maanaa nimeuliza kwa baadhi ya wateja nao walalamikia tatizo hilo. Nitawahama fasta sana.

Azam amkeni.

Ving'amuzi vya Azam au king'amuzi cha Azam (chako)? Mbona sisi wengine hatuna matatizo hayo? Jaribu kuangalia remote yako isije kuwa button zinanasa...
 
Bure Gharama, we ulipie elfu 12 ujiachie mwezi mzima.ukipenda vya bei rahisi uwe na kifua cha kuvumilia hizo karaha
 
kwangu picha huwa zinaganda. Yaani kama unaangalia channel fulani basi mara utaona picha imeganda lakini unasikia sauti, unapobadilisha channel halafu ukarudi tena ndiyo picha huendelea.

Hii huleta kero sana na baadhi ya wakati huganda mara tatu mpaka nne kwa program moja.

Acheni kuchafua biashara za watu kwa kutumia mafundi uchwara hilo. tatizo lako ni dogo sana signal ziko weak mtafute fundi akurekebishie signal quality isomeke 80% hilo tatizo hutoliona tena
 
Tatizo lao lingine ni hili. Kwenye program guide wanaweza kuandika muda huu ni wa prison break, lakini wanaonyesha kitu kingine kabisa.
 
Wakuu.

Ni dhahiri kwamba ujio wa king'amuzi cha azam ilifurahiwa na wengi hapa jukwaani na huko mitaani kwa ujumla.

Natumia king'amuzi cha azam na ilifurahia sana huduma zake na chanel zake lakini tangu juzi kimeanza kuzingua na sina hamu nacho tena.

Kwa nini?

1. Kimeaanza tabia ya kubadilisha chanel chenyewe, yaani huja shika remote wala hujabdili unashangaa tu kimesha badilisha chaneli.

2. King'amuzi kimeanza pia tabia ya kujiongeza na kupunguza sauti chenyewe. Huja amua kuongeza wala kupunguza sauti unashangaa tu kimesha jiongeza na kujipunguza sauti.

Nilijihisi labda remote ndio ina tatizo na nikajikuta natoa betri kwenye remote lakini bado hali ikawa ileile.


Nimekimbia startimes nikasema nijiunge na azam ambacho nicha mtanzania mwenzetu lakini pia nikitaraji ubora lakini nako majanga tu.

Azam nawapa siku tatu mtatue tatizo maanaa nimeuliza kwa baadhi ya wateja nao walalamikia tatizo hilo. Nitawahama fasta sana.

Azam amkeni.

Hebu tumia busara kabla haujafikia hatua hiyo hilo ni tatizo dogo peleka kwanza kwa fundi wa kampuni wakikuzingua ndo uje uyaseme hayo unayoyasema
 
Tatizo la kuganda picha nadhani ni la network ila hayo mengine sijawahi kuyasikia kabisa. Kama ni hivyo unaweza kwenda kituo chochote kilicho karibu na wewe ili wakupe msaada ikiwemo kuipima kama kuna tatizo wakurekebishie.

Binafsi wakati nanua nilinunua king'amuzi ambacho kilikuwa kimekufa lakini walibadilisha baada ya kujulishwa na fundi wao wa ofisi.
Startimes na Azam Tv heri Azamtv mara 100 kuliko Startimes.

net ikizingua hata sauti inakwama, thats new
 
Kuganda tatizo ni signal kuwa weak na kama kuna mvua ndo utaliona hilo zaid.kuhusu matatizo mengine nenda ofisin kwao wanachek na unabadilishiwa kpya kama ttzo ni kubwa!!
 
Acheni kuchafua biashara za watu kwa kutumia mafundi uchwara hilo. tatizo lako ni dogo sana signal ziko weak mtafute fundi akurekebishie signal quality isomeke 80% hilo tatizo hutoliona tena

Tumechafua nini kama huna la kusema si unyamaze tu, hakuna cha weak signal wala nini. Tatizo letu mtu ukimtoa makosa anaona unamuharibia badala ya kuzichukua hizo changamoto na kuzifanyia kazi ili kuboresha huduma yake.
 
Wakati wa mvua au mawingu huwa vinakata kabisa me nataka kuwahama nijaribu TING
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom