Ving'amuzi vya Azam vyaanza kusumbua!

Ving'amuzi vya Azam vyaanza kusumbua!

Acheni kuchafua biashara za watu kwa kutumia mafundi uchwara hilo. tatizo lako ni dogo sana signal ziko weak mtafute fundi akurekebishie signal quality isomeke 80% hilo tatizo hutoliona tena

Mafundi uchwara kapewa na nani?? Wakati unanunua si unapewa na fundi wa kukufungia dish na kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa tena kwa gharama zako?
Iweje fundi wao akikosea anakua fundi wangu uchwara??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom