nami niseme tu mtoa mada katumwa wallahi laadhim
Kashakimbia.
Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!
Video ya Show ya Vinega ipo youtube wala usijisumbue kutuambia lolote wakati ukweli uko wazi. Clouds Walifunikwa. Ok, bye!
We ndio moja ya wale mnaovaa nguo za kike!Mara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!
sivai nguo za kike,navaa nguo zangu yooWe ndio moja ya wale mnaovaa nguo za kike!
tuu tuu twee,kijamaika zaidiMara baada tu ya kumaliza tamasha lao pale k/nyama 26/11 vinega hawa j3 yake wakatangaza kuwa 'Mbeya your next' sasa mara baada tu ya clouds+airtel kutangaza kuwa tour ya Bongo50 itakwenda mbeya wiki hii,vinega hawa baada ya kufunikwa dar,wakaona mmmhhh bora wakimbilie Arusha..chek show zao zenyewe wanavyojikongoja tangu wafanye dar 26/11 wanapga A.town 18/12 sasa hadi kumaliza Tz nzma si itawachukua karne nzma?kwa nn wacwe kama fiesta au epiq nation?kila week show? sa sijui watawakimbia mpaka lini?yoo!!
Yaani ww jinga wa siku.
habari imeshawafkia..mnahaha yoo
sugu bado mtoto mdogo yooSugu huwezi kupambana Clouds hata siku moja na hizo Virus zako!