Mathias Luoga
Member
- Oct 6, 2010
- 11
- 3
Kwa kweli tungekuwa na wabunge kama hawa kama kumi mawaziri wangenyooka. lakini pia lingine lililonikuna nikuwa eti tangu jana mawaziri wanalalamikiwa lakini hakuna hata mmoja alie jiuzuru.
Jambo lililo niuma ni lile la wanafunzi wanapigwa virungu kumbe hela zimeliwa na wakuu wa vyuo. Hongera sana Mhe, Filikunjombe kwa ujasiri Mungu akulinde sasa
Jambo lililo niuma ni lile la wanafunzi wanapigwa virungu kumbe hela zimeliwa na wakuu wa vyuo. Hongera sana Mhe, Filikunjombe kwa ujasiri Mungu akulinde sasa