johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Kwanza Kabisa niwatakie Heri ya Mwaka mpya Wakongwe hawa wa Vyama Vya Upinzani
Pili niwaambie Kuwa Taifa zima linawategemea katika kutuongoza kuipata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Ninyi Wazee hamjawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye Siasa za Upinzani kama wanavyoyumbishwa Vijana na Jumuiya za akina mama
Mlale Unono 😄
Pili niwaambie Kuwa Taifa zima linawategemea katika kutuongoza kuipata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Ninyi Wazee hamjawahi kuyumba wala kuyumbishwa kwenye Siasa za Upinzani kama wanavyoyumbishwa Vijana na Jumuiya za akina mama
Mlale Unono 😄