arsenal wamefungwa mabao 8 kwa kuwa wamecheza mwezi wa 8 wangetaka.wafungwe machache wangecheza mwezi wa 1 na ole wao wangecheza mwezi wa 12 kila mchezaji angetoka na goli lake na la kocha pia.
Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?
Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!<br />
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?
arsenal wamefungwa mabao 8 kwa kuwa wamecheza mwezi wa 8 wangetaka.wafungwe machache wangecheza mwezi wa 1 na ole wao wangecheza mwezi wa 12 kila mchezaji angetoka na goli lake na la kocha pia.