sina uhakika saana ila naskia mengi ya hayo makundi yameundwa makusudi na mataifa ya magharibi kwa ajili ya conspiracy zao katika kuudanganya ulimwengu..mfano kuna mdau humu jf aliwahi kuweka uthibitisho wa namna jinsi intelijensia ya ufaransa ikishirikiana na baadhi ya majasusi wa isarael jinsi walivopangilia tukio la chalres hebdo la kuuwa watu ili ionekane jamii ya kiislamu imelipiza kisasi kwa mtume mohammad kuchorwa kibonzo..lakin in reality inasemekana hakuna waisalamu walihusika na mauaji yale..ni kama tukio la sept 11 la kuangusha jengo la wtc..hilo halina ubishi kuwa ulikuwa ni mchakato wa muda mrefu wa majasus wa kiisrael na wamarekani wenyewe...muislam wa kweli hawez kufanywa haya yanayofanywa na haya makundi..waliosoma historia ya mtume vizuri wanajua haya...wakati wa vita mtume alikuwa akitoa taadhari kutoharibu mazingira kwa kukata miti,kutoua mnyama,kutoua wanawake na watoto..na hata baada ya vita mateka aliokuwa akiwapata vitani..baadhi walisamehewa na kuwaachia huru...sasa haya makundi mengine yanapigana kwa chuki za kisiasa,uchumi,tawala za kikoo..yan in short ipo hvo....wenye data zaid wafunguke hapa mimi sijazama sana wadau