Kila kukicha kuelekea 2015 muda unazidi kupungua na kazi inaonekana kubwa kwa chama chetu.
Leo naomba nitoe ushauri jinsi ya kupanga vikosi vya M4C kuanzia mwaka huu. Mpangilio wangu unjikita katika kukubalika kwa mtu, eneo analotoka, ngazi ya harakati zake na nazigawa katika kanda kama ifuatavyo:-
Kanda ya Ziwa - Heche
Wenje
Mawazo
Rwakatare
Kasurumbai
Yusufu Fungameza
Mabere Marando
V. Nyerere
Wanaungana na makanda wengine toka kanda hiyo
Kanda ya Nyanda za juu Kusini - Sugu
Mzee wa Upako
Msigwa
C. Abwao
Silinde
Mbogolo
Nyakalungu
Kanda ya Kasikazini - Lema
Mwigamba
Rose Kamili
O. Millya
Golugwa
Nassari
Gekul
A. Bananga
Kanda ya mashariki - J J Myika
H. Mdee
Raya Ibrahimu
M. Abama
S. Issam Muhamad
Kilewo
Sanane
Na baadhi ya makamanda wa makao makuu
Kanda ya Kati B. Kigaila
T. Lissu
C. M. Lissu
Josephat Isango
Dr Kitila Mkumbo
Mbaruok (m/kiti Tabora)
Kanda zote zinaweza zitaongeza nguvu kwa kuwatumia makamanda wa kule kule walipo.
Unaruhusiwa kuongeza jina unaloona linafaa kwenye kanda yoyote au kuongeza ushauri.
Mikutano ipigwe kwa wakati mmoja kuepuka kuhujumiwa na magamba, wataua kila mkoa kwa kanda zote?
Mbowe, Dr Slaa na Zitto waende popote kuongeza nguvu inapohitajika na watumie helikopita kufika maeneo kwa wakati.
Ccm haina vikosi kama hivi popote nchi hii. Tutumie umaarufu wa wabunge wetu kujenga chama chetu.
TANZANIA NCHI YETU,CHADEMA CHAMA CHETU.
Naomba kuwasilisha!
Leo naomba nitoe ushauri jinsi ya kupanga vikosi vya M4C kuanzia mwaka huu. Mpangilio wangu unjikita katika kukubalika kwa mtu, eneo analotoka, ngazi ya harakati zake na nazigawa katika kanda kama ifuatavyo:-
Kanda ya Ziwa - Heche
Wenje
Mawazo
Rwakatare
Kasurumbai
Yusufu Fungameza
Mabere Marando
V. Nyerere
Wanaungana na makanda wengine toka kanda hiyo
Kanda ya Nyanda za juu Kusini - Sugu
Mzee wa Upako
Msigwa
C. Abwao
Silinde
Mbogolo
Nyakalungu
Kanda ya Kasikazini - Lema
Mwigamba
Rose Kamili
O. Millya
Golugwa
Nassari
Gekul
A. Bananga
Kanda ya mashariki - J J Myika
H. Mdee
Raya Ibrahimu
M. Abama
S. Issam Muhamad
Kilewo
Sanane
Na baadhi ya makamanda wa makao makuu
Kanda ya Kati B. Kigaila
T. Lissu
C. M. Lissu
Josephat Isango
Dr Kitila Mkumbo
Mbaruok (m/kiti Tabora)
Kanda zote zinaweza zitaongeza nguvu kwa kuwatumia makamanda wa kule kule walipo.
Unaruhusiwa kuongeza jina unaloona linafaa kwenye kanda yoyote au kuongeza ushauri.
Mikutano ipigwe kwa wakati mmoja kuepuka kuhujumiwa na magamba, wataua kila mkoa kwa kanda zote?
Mbowe, Dr Slaa na Zitto waende popote kuongeza nguvu inapohitajika na watumie helikopita kufika maeneo kwa wakati.
Ccm haina vikosi kama hivi popote nchi hii. Tutumie umaarufu wa wabunge wetu kujenga chama chetu.
TANZANIA NCHI YETU,CHADEMA CHAMA CHETU.
Naomba kuwasilisha!