Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

mpk

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
3,115
Reaction score
3,864
Kila kukicha kuelekea 2015 muda unazidi kupungua na kazi inaonekana kubwa kwa chama chetu.

Leo naomba nitoe ushauri jinsi ya kupanga vikosi vya M4C kuanzia mwaka huu. Mpangilio wangu unjikita katika kukubalika kwa mtu, eneo analotoka, ngazi ya harakati zake na nazigawa katika kanda kama ifuatavyo:-

Kanda ya Ziwa - Heche
Wenje
Mawazo
Rwakatare
Kasurumbai
Yusufu Fungameza
Mabere Marando
V. Nyerere
Wanaungana na makanda wengine toka kanda hiyo

Kanda ya Nyanda za juu Kusini - Sugu
Mzee wa Upako
Msigwa
C. Abwao
Silinde
Mbogolo
Nyakalungu

Kanda ya Kasikazini - Lema
Mwigamba
Rose Kamili
O. Millya
Golugwa
Nassari
Gekul
A. Bananga

Kanda ya mashariki - J J Myika
H. Mdee
Raya Ibrahimu
M. Abama
S. Issam Muhamad
Kilewo
Sanane
Na baadhi ya makamanda wa makao makuu

Kanda ya Kati B. Kigaila
T. Lissu
C. M. Lissu
Josephat Isango
Dr Kitila Mkumbo
Mbaruok (m/kiti Tabora)

Kanda zote zinaweza zitaongeza nguvu kwa kuwatumia makamanda wa kule kule walipo.
Unaruhusiwa kuongeza jina unaloona linafaa kwenye kanda yoyote au kuongeza ushauri.
Mikutano ipigwe kwa wakati mmoja kuepuka kuhujumiwa na magamba, wataua kila mkoa kwa kanda zote?
Mbowe, Dr Slaa na Zitto waende popote kuongeza nguvu inapohitajika na watumie helikopita kufika maeneo kwa wakati.
Ccm haina vikosi kama hivi popote nchi hii. Tutumie umaarufu wa wabunge wetu kujenga chama chetu.

TANZANIA NCHI YETU,CHADEMA CHAMA CHETU.

Naomba kuwasilisha!
 
Naaaaaaam! well articulated, guy.

I certainly subscribe to your ideas.

But all the task forces should actually focus much on reaching people living in the country sides rather than those dwelling in urban areas.
 
Umepanga vizuri hiyo safu ya ushindi Kamanda
 
Umenena! Naamini hilo linafanyiwa kazi
 
Kaka kama ni kwenye football wewe ni Guardiora au ferg duh kama itafanyika hivyo na makamanda wa makao makuu wakaongeza nguvu kila mahali maccm lazima wakae

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Na mimi nasema safu kama hii huwezi kuipata kwenye chama CHOCHOTE hapa Tanzania...
 
Kuna Kamanda amemsahau Prf Safari na sijui atakabili kanda ipi..........ama waungane na Z. Kabwe+ Kamanda wa anga a.k.a Sauti ya sabufa kwani hakika hawa magamba hawaponi hata kidogo............VIVA CHADEMA!!!!!!!!



Mzee wa upako , huyo jamaa namkubali sana
 
Last edited by a moderator:
Nyakarungu!!!!! Huyu naye ni mwana PM saba aisee msimpe tena nafasi coment zake hata kwenye wall yake ya FB sio za kujenga chama hata kidogo
 
Safu nzuri wazo lipelekwe kamati kuu na kamanda lema asaidie kote yani kwenye chopa na milya pia aende mikoa pwan kuna jamii ya wafugaji kutafutwa na watu wote na mhe safari awe kweny chopa na kila sehmu iendeshwe harambee il ipewe sapoti bila ya kusahau uenez wa vifaa vya chama kama bendera, kadi na kaun spika kwa maeneo yasiyo kuwa na ushawish ili baada ya hapo waendelee ktk uenez wa chama magamba bye kwa stail iyo
 
Back
Top Bottom