platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Hivi karibuni nilikutana na mmoja wa Wanajeshi aliyefungwa kifungo cha maisha kwa kosa la uhaini kabla ya msamaha wa Rais Mwinyi 1995.
Tulikutana kwa bahati tu, nilimuuliza mambo mengi yaliotukia wakati huo na hata sasa. Kama nilivyotgemea alinieleza kwa ufasaha malengo yao ambayo aliyaita ya kizalendo, na moja alilonieleza ni mabadiliko waliyotaka kuyafanya hasa kiuchumi. Kimsingi, hata baada ya kukamatwa sehemu ya mapendekezo yalifanyiwa kazi na Waziri mkuu wakati huo; Dr.Salim.
Kinachonifurahisha ni kuwa ana kumbukumbu nzuri na ni very intelligent. Akizungumza unaona ile hali ya uzalendo ndani yake, maneno machache ujumbe mzito.
Nachojiuliza kaliba ya Watu aina hiyo hata katika sekta nyingine imepotelea wapi. Tulikosea/tunakosea nini? Saaa hivi unaweza kumsikiliza afisa mkubwa serikalini akizungumza ukajiuliza kama yuko sawa kichwani!!!
Cc JokaKuu, nguruvi, The Boss, Pasco, Ritz, Jasusi, @elochima
Tulikutana kwa bahati tu, nilimuuliza mambo mengi yaliotukia wakati huo na hata sasa. Kama nilivyotgemea alinieleza kwa ufasaha malengo yao ambayo aliyaita ya kizalendo, na moja alilonieleza ni mabadiliko waliyotaka kuyafanya hasa kiuchumi. Kimsingi, hata baada ya kukamatwa sehemu ya mapendekezo yalifanyiwa kazi na Waziri mkuu wakati huo; Dr.Salim.
Kinachonifurahisha ni kuwa ana kumbukumbu nzuri na ni very intelligent. Akizungumza unaona ile hali ya uzalendo ndani yake, maneno machache ujumbe mzito.
Nachojiuliza kaliba ya Watu aina hiyo hata katika sekta nyingine imepotelea wapi. Tulikosea/tunakosea nini? Saaa hivi unaweza kumsikiliza afisa mkubwa serikalini akizungumza ukajiuliza kama yuko sawa kichwani!!!
Cc JokaKuu, nguruvi, The Boss, Pasco, Ritz, Jasusi, @elochima
Last edited by a moderator: