Viko wapi vichwa hivi?

Viko wapi vichwa hivi?

Huko ulipopataja hakufai watu wameingizwa na kuchaguliwa bila kufata taratibu.
sana sana hao jamaa wakiwa bar kutwa kuwapiga watu mkwala,ndomana wanaishia kutoa siri za nchi tu.

ukiwa na watu wenye uelewa mdogo wa kanuni za maadili ni shida, mchujo wao wengine ni toka JkieT pahali penye kutia shaka uhalali wa kielimu. Baba kanintuma ndo hao.
 
CCM wameua nchi..

Na muda inavyo songa ndo Wanakuwa wa hovyo, wanaunda selekali lege lege zenye viongozi walalamikaji, mara oh nina orodha ya wauza dawa za kulevya,... Mara mmiliki wa dowans simjui,.... Selekali ya enzi hizo ilikuwa imara hata chama pia huwezi kukilinganisha na ccm ya akina Nape.
 
hebu angalia majina ya timu ya kampeni ya ccm ! hiyo ndio think tank ya ccm , unategemea nini ?
 
Back
Top Bottom