Vikao vya kuzimu

Vikao vya kuzimu

Mshana wewe ni mtaalam wa mambo ya giza. ..na nuru hivi huwezi tuambia wasiojulikana walivaa nguo Gani na walikmbilia wapi baada ya unyama ule wa kumpga Mwanaharakat TL?
Kwanza lazima niseme wazi tu kwamba, tunaposema (kwa ujumla wetu) watu wasiojulikana tunakosea sana.... Kisichojulikana maana yake hakipo
Hao watu wapo ila hawajulikani kwa wengi, na tukiamua wajulikane kwa wote inawezekana kabisa ni swala la utashi na maamuzi tuu
 
Kuna tofauti kati ya Kuzimu, jehenamu na ahera?
 
Kuna tofauti kati ya Kuzimu, jehenamu na ahera?
Ni almost kitu kile kile kama dunia na ulimwengu hasa kuzimu na akhera, huko ni kwa wafu lakini jehanum ni sehemu ya mateso kwa ajili ya wadhambi na unaweza kuishi jehanum ukiwa bado hai
 
Shida yako mkuu unafahamu mengi ila unaleta mutasari tu kwa nini malizia basi
Unajua najitahidi kuandika kwa ufupi kwakuwa huku ni mtandaoni, kama ni kitabu basi naweza kuandika kwa mapana tatizo muda
 
Haya ni mambo ya kiroho hayana ithibati za kisayansi
Ni Jibu Zuri Sana Kwa wale wanaotaka uthibitisho wa kisayansi ktk kutoa majibu ya mambo ya ulimwengu wa Kiroho.
Wale wanaotaka uthibitisho wa kisayansi kuhusu Uwepo wa Mungu, Shetani, Mbingu, Kuzimu nk.

Ukiwaambia tutumie Astra Projection au Holly Meditation wanasema hawaijui.

Sijui tutawasaidiaje.

Asante Profesa mshana jr.

Cc..Alwatani, Helopine na ma- Atheist wote.
 
Ni Jibu Zuri Sana Kwa wale wanaotaka uthibitisho wa kisayansi ktk kutoa majibu ya mambo ya ulimwengu wa Kiroho.
Wale wanaotaka uthibitisho wa kisayansi kuhusu Uwepo wa Mungu, Shetani, Mbingu, Kuzimu nk.

Ukiwaambia tutumie Astra Projection au Holly Meditation wanasema hawaijui.

Sijui tutawasaidiaje.

Asante Profesa mshana jr.

Cc..Alwatani, Helopine na ma- Atheist wote.
Yeah ni watu wanaoishi maisha ya kukariri
 
Kuzima hujenga ushawishi kwa wanadamu ili wakutumikie na kuahidi mambo mazuri kama mamlaka, utajiri na mambo mengine mazuri ambayo hustawi huko kuzimu lakini katika roho mtakatifu lazima mtu ujikane mwenyewe uombe na kusubiri utimirifu wa lile ombi kwa mda ambao lazima upite majaribuni ili agano litimie hapo ukishinda majaribu unapata ile ahadi yako. Endeleeni kuomba usiku na mchana ili kuishinda giza
 
Back
Top Bottom