Vikao vya kuzimu

Vikao vya kuzimu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,928
4f8b30c74316a99b281eb2448c557db9.jpg
kuzimu kupo! Kuzimu kuna macho, kunaona! Kuzimu kuna masikio, kunasikia! Kuzimu kuna fahamu.

Kuna tawala na falme za giza! Hizi ni za kuzimu... Yanayotendeka kwenye ulimwengu wa macho asili yake ni kwenye ulimwengu wa roho,. Kwenye ulimwengu wa roho kuna falme mbili!!!

Ufalme wa nuru na ufalme wa giza
Ukifanikiwa kutenda jema jua lina asili na ufalme wa nuru! Ukitenda jambo baya lina asili na ufalme wa giza.

Kuzimu kuna vikao, hakuna jambo linalotokea kwa bahati mbaya HAKUNA... VIikao vya kuzimu viko connected moja kwa moja na ufahamu wako! Na maamuzi yoyote hutolewa na wewe mwenyewe ila kikao na hadidu za rejea hutoka huko.

Iko hivi, unapopanga jambo jema, hupangi pekeyako una washiriki kwenye hilo shauri na unapopanga jambo baya vilevile.

Utekelezaji wake ni matokeo ya mwisho ambayo maamuzi yake yametoka huko kwenye ulimwengu usioonekana! Ulimwengu wa roho.

Shetani yupo kuzimu kupo! Na shetani ndio kapewa milki ya dunia(inabidi kuwa mwamini kuweza kunielewa hapa).

Asilimia kubwa ya binadamu tunaishi kwenye uvutano wa hizi falme mbili, ufalme wa giza na ufalme wa nuru.... Tokea lolote la matendo yako ni ushindi wa ufalme mmojawapo kati ya hizo mbili.

Kila mwanadamu ana viwango husishi kwenye falme zote mbili na haziko stagnant, ndio maana wengi hufanya mabaya kisha wakajutia ama hufanya jema ila tu akajiona hakupaswa kufanya vile.

NGUVU hiyo ya uvutano iko kwenye mizania ya nafsi.. Mizania ya hasi na chanya.

Kuna watu mizania ya uvutano imeegemea zaidi upande wa hasi, yani unakuta ni -20 vs +80! Hawa ndio wale tunaowaita wana roho mbaya ama katili.. Hawaumii kabisa wanapowatendea wengine mabaya, yani maumivu ya wengine mateso ya wengine ni faraja kwao.

Hawa ndio wauaji, hawa ndio wale ambao kuzimu wamesimamia ukucha

Usalama na ustawi wa raia katika falme na tawala za kidunia hutegemea sana mamlaka zake zinavutwa na nguvu gani kwenye ulimwengu wa roho!
 
Kila nafsi ina mmiliki wake,
Either Nuru au giza.Hakunaga netral sijui katikati ohh sina mmiliki!! BIG No
Angalia matendo yako,fikra na maneno utajua mmliki wako nani
Kwanini tunatenda mema na mabaya? Kuna wakati hizo milki hupishana ama kupokezana!,kwanini kuna vita ya kiroho? Kuna wakati nafsi huwa katikati na kila milki hutaka kuwa na maamuzi ya mwisho!
5014d9d433ddf133e9b8246b8ec1dd9c.jpg
 
Kwanini tunatenda mema na mabaya? Kuna wakati hizo milki hupishana ama kupokezana!,kwanini kuna vita ya kiroho? Kuna wakati nafsi huwa katikati na kila milki hutaka kuwa na maamuzi ya mwisho! View attachment 595881
Jambo kabla halijatendeka au neno kusemwa hua lianzia katika ulimwengu wa roho,
Roho inashurutisha nafsi,mwili unapokea yale yaliamuliwa kutoka kwenye nafsi,
But huwa wanasema Mungu alimuumba binadam akampulizia pumzi hai,ikawa nafsi hai
Pumzi hai ni Roho,
 
Hivi naomba niulize swali baada ya kufa tunaenda wapi hizi habari ukifanya mema kuna Mungu na mabaya unaenda motoni ni kweli au ni simulizi tu
 
Hivi naomba niulize swali baada ya kufa tunaenda wapi hizi habari ukifanya mema kuna Mungu na mabaya unaenda motoni ni kweli au ni simulizi tu
Kama simulizi nani akikuambia kuuwa mtu dhambi na kumpenda mtu ni jema?
Je ipi ni rambi na lipi ni Jema?
Tuanzie hapo,
 
4f8b30c74316a99b281eb2448c557db9.jpg
kuzimu kupo! Kuzimu kuna macho, kunaona! Kuzimu kuna masikio, kunasikia! Kuzimu kuna fahamu.....
Kuna tawala na falme za giza! Hizi ni za kuzimu... Yanayotendeka kwenye ulimwengu wa macho asili yake ni kwenye ulimwengu wa roho,. Kwenye ulimwengu wa roho kuna falme mbili!!! Ufalme wa nuru na ufalme wa giza
Ukifanikiwa kutenda jema jua lina asili na ufalme wa nuru! Ukitenda jambo baya lina asili na ufalme wa giza.... Kuzimu kuna vikao, hakuna jambo linalotokea kwa bahati mbaya HAKUNA... VIikao vya kuzimu viko connected moja kwa moja na ufahamu wako! Na maamuzi yoyote hutolewa na wewe mwenyewe ila kikao na hadidu za rejea hutoka huko
Iko hivi, unapopanga jambo jema, hupangi pekeyako una washiriki kwenye hilo shauri na unapopanga jambo baya vilevile... Utekelezaji wake ni matokeo ya mwisho ambayo maamuzi yake yametoka huko kwenye ulimwengu usioonekana! Ulimwengu wa roho
Shetani yupo kuzimu kupo! Na shetani ndio kapewa milki ya dunia(inabidi kuwa mwamini kuweza kunielewa hapa)
Asilimia kubwa ya binadamu tunaishi kwenye uvutano wa hizi falme mbili, ufalme wa giza na ufalme wa nuru.... Tokea lolote la matendo yako ni ushindi wa ufalme mmojawapo kati ya hizo mbili....
Kila mwanadamu ana viwango husishi kwenye falme zote mbili na haziko stagnant, ndio maana wengi hufanya mabaya kisha wakajutia ama hufanya jema ila tu akajiona hakupaswa kufanya vile
NGUVU hiyo ya uvutano iko kwenye mizania ya nafsi.. Mizania ya hasi na chanya... Kuna watu mizania ya uvutano imeegemea zaidi upande wa hasi, yani unakuta ni -20 vs +80! Hawa ndio wale tunaowaita wana roho mbaya ama katili.. Hawaumii kabisa wanapowatendea wengine mabaya, yani maumivu ya wengine mateso ya wengine ni faraja kwao
Hawa ndio wauaji, hawa ndio wale ambao kuzimu wamesimamia ukucha

Usalama na ustawi wa raia katika falme na tawala za kidunia hutegemea sana mamlaka zake zinavutwa na nguvu gani kwenye ulimwengu wa roho!
Wakolomije bashite na sizonje wanaitumikia roho ya giza
 
Hivi naomba niulize swali baada ya kufa tunaenda wapi hizi habari ukifanya mema kuna Mungu na mabaya unaenda motoni ni kweli au ni simulizi tu
Sio simulizi ni kweli kabisa
 
mshana jr nakubaliana na wewe kabisa kwa kuwa shetani anatenda kazi na anayaprogram maisha yetu hapa duniani. Ni ulimwengu wa nuru wa kiroho unaookoa jahazi na kuna vita kali mno zinaendelea.
 
4f8b30c74316a99b281eb2448c557db9.jpg
kuzimu kupo! Kuzimu kuna macho, kunaona! Kuzimu kuna masikio, kunasikia! Kuzimu kuna fahamu.....
Kuna tawala na falme za giza! Hizi ni za kuzimu... Yanayotendeka kwenye ulimwengu wa macho asili yake ni kwenye ulimwengu wa roho,. Kwenye ulimwengu wa roho kuna falme mbili!!! Ufalme wa nuru na ufalme wa giza
Ukifanikiwa kutenda jema jua lina asili na ufalme wa nuru! Ukitenda jambo baya lina asili na ufalme wa giza.... Kuzimu kuna vikao, hakuna jambo linalotokea kwa bahati mbaya HAKUNA... VIikao vya kuzimu viko connected moja kwa moja na ufahamu wako! Na maamuzi yoyote hutolewa na wewe mwenyewe ila kikao na hadidu za rejea hutoka huko
Iko hivi, unapopanga jambo jema, hupangi pekeyako una washiriki kwenye hilo shauri na unapopanga jambo baya vilevile... Utekelezaji wake ni matokeo ya mwisho ambayo maamuzi yake yametoka huko kwenye ulimwengu usioonekana! Ulimwengu wa roho
Shetani yupo kuzimu kupo! Na shetani ndio kapewa milki ya dunia(inabidi kuwa mwamini kuweza kunielewa hapa)
Asilimia kubwa ya binadamu tunaishi kwenye uvutano wa hizi falme mbili, ufalme wa giza na ufalme wa nuru.... Tokea lolote la matendo yako ni ushindi wa ufalme mmojawapo kati ya hizo mbili....
Kila mwanadamu ana viwango husishi kwenye falme zote mbili na haziko stagnant, ndio maana wengi hufanya mabaya kisha wakajutia ama hufanya jema ila tu akajiona hakupaswa kufanya vile
NGUVU hiyo ya uvutano iko kwenye mizania ya nafsi.. Mizania ya hasi na chanya... Kuna watu mizania ya uvutano imeegemea zaidi upande wa hasi, yani unakuta ni -20 vs +80! Hawa ndio wale tunaowaita wana roho mbaya ama katili.. Hawaumii kabisa wanapowatendea wengine mabaya, yani maumivu ya wengine mateso ya wengine ni faraja kwao
Hawa ndio wauaji, hawa ndio wale ambao kuzimu wamesimamia ukucha

Usalama na ustawi wa raia katika falme na tawala za kidunia hutegemea sana mamlaka zake zinavutwa na nguvu gani kwenye ulimwengu wa roho!
Na mimi nasema AMINA.
 
Da ina maana waliomshambulia Lissu ni matokeo ya vikao huko kuzimu?? Hakika tungeweza pata muhtasari wa vikao tungeona wahusika waliotoka kwenye ulimwengu halisi!
 
Ni kili wazi mr. Mshana wewe ni miongoni mwa watu wenye uelewa mkubwa mno, ukiacha elimu dunia upo uelewa asilia (power of mind) ambayo watu huwa hatuipati kwingine kokote isipokuwa tumezaliwa nayo (hutoka kwa Mungu/hekima).

Maandiko huwa yanasema HEKIMA ni chanzo maarifa/elimu/ujuzi/uelewa hapa hekima anazungumziwa MUNGU mwenyewe si semi kuna watu hawana Mungu la hasha ila UJAZO wa Mungu(ujazo wa Roho Mtakatifu) kwa watu ni tofauti, hatari ya hawa watu huwa ni maadui wakubwa wa shetani maisha yao huandamwa na shetani sana ila kuua ile hekima iliyo ndani mwao.

Ikitokea mtu huyu akawa kiongozi na kama alijinda na kumshinda shetani, huwa kiongozi bora people like late Mandela, Nyerere, Dalali Lama Mahandra Ghandi etc.

Mr. Mshana u kati ya watu hawa, tunza sana nafsi yako maana lazima unawindwa sana na shetani. Binafsi nakutambua sababu ni kundi hili la hawa watu.
 
Back
Top Bottom