IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
Ujue mimi ninavyo toka naanza kumenya govi langu mpaka leo niko above 30. ni vikavu tu havitumbuki wala nini vimezunguka kichwa cha mashine. Mwanzo nilijua tatizo ni goviVipele vidogo vinavoota kuzunguka shingo na kichwa cha **** ni normal haviwash wala kutoa maji
Lkn kama nitofauti na hivo
Njoo nikutibu