Vijana wetu na uchawa

Vijana wetu na uchawa

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
Habari wakuu.

Nipo hapa kuleta hoja ya vijana kuzama kwenye uchawa. Yaani mimi nashindwa kuelezea tena inapigwa debe kweli kweli kana kwamba ni jambo zuri.

Unakuwa chawa wa mtu je akifa! Yaani utakuwaje vijana kataeni mfumo huu mbaya wenye kuharibu sifa zenu pamoja na utu wenu.

Ni aibu kuwa chawa wa mtu kwa kuwa mtu anaweza kukutumia na kukutupa akimpata mwenye uwezo zaidi wa kumpromote yeye.

Nimeona nijaribu kuelezea hili. Karibuni kwa mchango.
 
Habari wakuu.

Nipo hapa kuleta hoja ya vijana kuzama kwenye uchawa. Yaani mimi nashindwa kuelezea tena inapigwa debe kweli kweli kana kwamba ni jambo zuri.

Unakuwa chawa wa mtu je akifa! Yaani utakuwaje vijana kataeni mfumo huu mbaya wenye kuharibu sifa zenu pamoja na utu wenu.

Ni aibu kuwa chawa wa mtu kwa kuwa mtu anaweza kukutumia na kukutupa akimpata mwenye uwezo zaidi wa kumpromote yeye.

Nimeona nijaribu kuelezea hili. Karibuni kwa mchango.
Wanakuja ...subiria
 
Wanazingua kichizi, mwanaume badala upigane unakaa kuwa chawa na kusifia ambako siko
 
Habari wakuu.

Nipo hapa kuleta hoja ya vijana kuzama kwenye uchawa. Yaani mimi nashindwa kuelezea tena inapigwa debe kweli kweli kana kwamba ni jambo zuri.

Unakuwa chawa wa mtu je akifa! Yaani utakuwaje vijana kataeni mfumo huu mbaya wenye kuharibu sifa zenu pamoja na utu wenu.

Ni aibu kuwa chawa wa mtu kwa kuwa mtu anaweza kukutumia na kukutupa akimpata mwenye uwezo zaidi wa kumpromote yeye.

Nimeona nijaribu kuelezea hili. Karibuni kwa mchango.

Kwani Mwinjaku na Baba Levo ni Vijana? Uchawa ni uchawa tu hakuna umri; hukuona uchawa wa yule Mzee BULEMBO wa ccm? What they all have in common ni KUTOJITAMBUA!
 
Habari wakuu.

Nipo hapa kuleta hoja ya vijana kuzama kwenye uchawa. Yaani mimi nashindwa kuelezea tena inapigwa debe kweli kweli kana kwamba ni jambo zuri.

Unakuwa chawa wa mtu je akifa! Yaani utakuwaje vijana kataeni mfumo huu mbaya wenye kuharibu sifa zenu pamoja na utu wenu.

Ni aibu kuwa chawa wa mtu kwa kuwa mtu anaweza kukutumia na kukutupa akimpata mwenye uwezo zaidi wa kumpromote yeye.

Nimeona nijaribu kuelezea hili. Karibuni kwa mchango.
Chawa akisema nyeusi kuwa ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe je ataendeleza sifa yake ya uchawa au atakuwa ameruka vigezo vya uchawa?

Chawa akiandika business proposal au kutoa strong idea kwa mwenye capital na wakaitumia kupata big profit ataendelea kuwa chawa au atapoteza sifa ya uchawa.

Je? ni nini maana ya uchawa.
 
Back
Top Bottom