Vijana, wazee ndio wanawaharibia


Ndo maana ya hii mada kwamba wawe wapole tu wasisingizie mara ukimwi sijui nini...wao pamoja na kwamba hawaba rasilimali lakini wanaruka ruka sana
 

NAkushauri kaangalie kundi la wanaaongoza kwa maambukizi ya VVU, kisha urudi hapa

CC Asprin, atoto Dark City mwekundu Nicas Mtei Mtambuzi Vin Diesel

Hommie, kama hawa ndo vijana wetu wasomi wa miaka hii...... kama kweli....

Basi kweli somo la HIV/AIDS bado halijaingia vizuri kwenye bongo za vijana wetu...

Mungu aendelee kutunusuru tu..

cc: Mtambuzi, Dark City, MwanajamiiOne, Kaunga, BADILI TABIA, Kongosho
 
Last edited by a moderator:

Na hao wazee walioshika hizo nafasi na rasilimali ndio waliojaa... Tandale, Manzese, Magomeni, Temeke, Makambako, Himo, Namanga, Chalinze..... Na wala hawako Masaki, Oysterbay, Upanga, Mikocheni..... et el


Ndo maana ya hii mada kwamba wawe wapole tu wasisingizie mara ukimwi sijui nini...wao pamoja na kwamba hawaba rasilimali lakini wanaruka ruka sana

Wasamehe wajukuu zetu, ni hasira za kupigwa bao. Inauma sana kaka.

Jaribu kukumbuka enzi zile utanielewa.

:sick::sick::sick::sick:
 

Hapa babu Asprin na babu Dark City lazima wachekelee kwa misifa.

Unaona sasa???
 
Ila sio siri mabinti wa siku hizi wana njaa na tamaa sana. Sio ajabu kumkuta binti akiwa na mzee bila hata ya aibu na wengine hisema kabisa kuwa wanatafuta mzee mwenye ndoa yake.
 
Wewe juzi tu kuna mdada wa 25yrs nimempata akisema na mwenzake pahali vijana wa 30yrs ni shida bado wana akili za kitoto, Sasa hawa wadada ni wadogo means wanakalia za mapapaa

Ngoja nitoe sababu chache ----- Kwanza wanadai wazee wana care mno tofauti na vijana , Pili vijana hawatoi pesa , mbunga, Tatu vijana wanakamia gem mnoooo 3hrs na bado ,

Sasas hawa wadada sijui ni matatizo ya nguvu a kike ________ Wanataka show za kizee mtaipenda
 
Ila sio siri mabinti wa siku hizi wana njaa na tamaa sana. Sio ajabu kumkuta binti akiwa na mzee bila hata ya aibu na wengine hisema kabisa kuwa wanatafuta mzee mwenye ndoa yake.

Sasa aibu inatoka wapi wakati unapata kitu roho inapenda!!
 

Ndo waache utoto wao...wajue kuhudumia pia sio anaambiwa simu imeharibika anakuja report jf wajue kujali kupetipeti
 
Tatizo PESA kaka UMASIKINI HUU UTATUUA!!...........
 
SIKU ZA MWISHO WATU WATAKUWA WENYE KUPENDA FEDHA KULIKO KUMPENDA MUNGU.hakuna jipya!
 
kama mzee hana kitu hawezi pata dogodogo pia wazee wenye nafasi maofisni wanadanganyia vitu vingi

Vijana wa kiume wengi hawajajipanga kimaisha, halafu wamekuwa 'mdebwedo' sana mademu wa miaka hii vision ya maisha kwa hiyo vijana wamewekwa kipolo karma spare tyre.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…