TarimeYetu
New Member
- Nov 27, 2013
- 2
- 0
Vijana watano wameuawa na jeshi na mmoja kujeruhiwa vibaya baada kuingia kuokota mawe(makapi)katika Barick Nyamongo.
Vijana watano wameuawa na jeshi na mmoja kujeruhiwa vibaya baada kuingia kuokota mawe(makapi)katika Barick Nyamongo.
Hao vijana ni kweli walikuwa wanaokota makapi ama Luna kith ni kingine maana sielewi kabisa naomba ufafanuzi.
huyo mleta mada ni muongo na mpotoshaji.
mimi nipo nyamongo.
Kijana aliyepoteza maisha ni mmoja na si watano na wala hajauawa na polisi.
Kundi la watu si chini ya elfu moja waliingia ndani ya mgodi wa barick kuiba mawe ya dhahabu (sio makapi) katika pit.
vijana wawili waliporomoka kutoka juu ya pit. (kumbuka pit ni shimo refu sana na lina mawe makubwa ni kama urefu wa ghorofa sita au zaidi)
kijana mmoja alipoteza maisha na mwingine aliumia vibaya na mpaka sasa yupo katika clinic ya barick anatibiwa na barick.
Mwili wa aliyefariki umepelekwa katika hospitali ya Sungu sungu kuhifahiwa.
katika hali isiyo ya kawaida, kiongozi mmoja wa serikali za mitaa wa CCM.
alikusanya kundi la vijana na kuwahamasisha waingie ndani ya mgodi wakafanye vurugu.
ajabu mara baada ya kuwahamasisha viana hao yeye mwnyewe aliingia kwenye gari yake na kutokomea, hakujuinga na vijana wale.
polisi walifanikiwa kudhibiti.
huyo anayesema wamakufa watu watano taarifa kazitoa wapi?
Badala mgd kuleta baraka imekuwa balaa kwetu wanatarime
huyo mleta mada ni muongo na mpotoshaji.
mimi nipo nyamongo.
Kijana aliyepoteza maisha ni mmoja na si watano na wala hajauawa na polisi.
Kundi la watu si chini ya elfu moja waliingia ndani ya mgodi wa barick kuiba mawe ya dhahabu (sio makapi) katika pit.
vijana wawili waliporomoka kutoka juu ya pit. (kumbuka pit ni shimo refu sana na lina mawe makubwa ni kama urefu wa ghorofa sita au zaidi)
kijana mmoja alipoteza maisha na mwingine aliumia vibaya na mpaka sasa yupo katika clinic ya barick anatibiwa na barick.
Mwili wa aliyefariki umepelekwa katika hospitali ya Sungu sungu kuhifahiwa.
katika hali isiyo ya kawaida, kiongozi mmoja wa serikali za mitaa wa CCM.
alikusanya kundi la vijana na kuwahamasisha waingie ndani ya mgodi wakafanye vurugu.
ajabu mara baada ya kuwahamasisha viana hao yeye mwnyewe aliingia kwenye gari yake na kutokomea, hakujuinga na vijana wale.
polisi walifanikiwa kudhibiti.
huyo anayesema wamakufa watu watano taarifa kazitoa wapi?
huyo mleta mada ni muongo na mpotoshaji.
mimi nipo nyamongo.
Kijana aliyepoteza maisha ni mmoja na si watano na wala hajauawa na polisi.
Kundi la watu si chini ya elfu moja waliingia ndani ya mgodi wa barick kuiba mawe ya dhahabu (sio makapi) katika pit.
vijana wawili waliporomoka kutoka juu ya pit. (kumbuka pit ni shimo refu sana na lina mawe makubwa ni kama urefu wa ghorofa sita au zaidi)
kijana mmoja alipoteza maisha na mwingine aliumia vibaya na mpaka sasa yupo katika clinic ya barick anatibiwa na barick.
Mwili wa aliyefariki umepelekwa katika hospitali ya Sungu sungu kuhifahiwa.
katika hali isiyo ya kawaida, kiongozi mmoja wa serikali za mitaa wa CCM.
alikusanya kundi la vijana na kuwahamasisha waingie ndani ya mgodi wakafanye vurugu.
ajabu mara baada ya kuwahamasisha viana hao yeye mwnyewe aliingia kwenye gari yake na kutokomea, hakujuinga na vijana wale.
polisi walifanikiwa kudhibiti.
huyo anayesema wamakufa watu watano taarifa kazitoa wapi?
Ni kweli mgodi una fensi ya zege ingawa sio sehemu zote, kuna sehemu zipo wazi.Si nilisikia mgodi umewekewa uzio (expensive fence) na kuna police zaidi ya 30 (FFU) wanaulinda 24/7...na bado wana surveillance cameras, sasa hao vijana wanaingiaje kwenye pit?
Mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mkuu hiyo sentensi ya mwisho inanifanya nitilie mashaka bandiko lako...
Unaposema taarifa katoa wapi, kwani wewe umetoa wapi?
Unaposema taarifa katoa wapi, ina maana kuna mtu anahodhi hizo taarifa?
Unaposema taarifa katoa wapi ina maana haikutarajiwa hizo taarifa zingetoka?
Wewe ni nani hasa ili tuamini kwamba taarifa zako ni genuine na sio za mleta thread?
Matukio ya polisi kupiga wananchi risasi hapo mgodini yamekuwa yalitokea (na kuthibitishwa) mara kwa mara, lakini matukio ya watu kudondokea kwenye pit na kufa kama ulivyoripoti wewe sio common. Hivi unatuaminishaje kwamba kilichotokea sio "business as usual" na kwamba ni tukio "geni"?