ONDIECK OTOYO
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 254
- 46
vijana kuvamia migodi ni bomu iliyoandaliwa na serekali kwa vijana kukosa ajira na wananchi kutoona manufaa ya mgodi na jambo hilo litaendelewa ambapo mauaji yanaweza yakawa makubwa zaidi kwa pande zote na siyo kama ilivyo sasa