Vijana wamekamatwa katika misitu ya mlima Meru na wengine Morogoro wakipewa mafunzo ya kigaidi. Hii ni hatari sana kwa usalama wa taifa letu. Kama kweli watanzania tuna nia njema na taifa letu tuwakwepe.
Teh teh teh wote wamevaa suruali nyeusi.. Wengi wana T-shirt za blue na wengine Mashati meupe.. Possibly ni watoto wa shule either kulikuwa na mgomo au vurugu hapo shuleni.. Invisible Plz ondoa hii kitu hapa... Mbowe jana kawaomba tucheze a fair game hawa jamaa pumzi zimeshawaisha..
we mtoa post hujielewi! hao wanafunzi wa njombe sekondari kama sikosei waliogoma kipindi flani mwanzoni mwa mwaka huu. huoni wamevaa sare(suruali) nyeusi. unajiaibisha
ni kwamba hyo picha ni ya zamani na hapo unasaka tu buku 7zako upate ujira wa Leo. hakuna tukio kama hill na hai vijana dio wa ukawa. tatzo lenu mmezoea majungu.vijembe na matusi Hanna jipya . lowassa ndiye rais wako mzoga wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.