Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 425
- 1,027
Kama yupo kijana mdogo, umri kuanzia miaka 18 hadi 20 asiyesoma shule, anayetaka kuajiriwa kwa ajili ya biashara ndogondogo kwa mshahara mzuri maeneo ya Tabata anitafute nimpe connection.
Kasema kuanzia miaka 18+MKuuu kutumikisha watoto ni kosa kisheria, ukibainika kuwapa watoto mayai, Karanga nk wakauze huo mkataba wa ajira ni batili maaana mtoto hana mamlaka kisheria kuingia mkataba.
Mind you fanya kimia kimia lkn kwa level ya JF tunakuchana kwamba wewe unapaswa kuwa Nyuma ya Nondo kwa Unyanyasaji na kutumikisha Watoto sio jambo jema.
SafiKasema kuanzia miaka 18+
Elewa neno miaka 18 mpaka ishirini halafu hasomi
Sio under 18